Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,510
Hana shida na Ubunge amechoka nao au haoni kama ni big deal hivyo anaongea anachokiamini bila woga/shaka.
Si mnafiki anazungumza anachokiamini. Mtu wa namna hii ni mzuri akipata wasaa wa kuamini jambo lenye faida kwa Taifa. Hayumbishwi. Tunapaswa kuwa na watu wa namna hii
Huyu ni mtu wa system au ana back up kubwa sana. Alianza jiamini toka serikali ya marehemu ni yeye pekee aliyeweza pambana na makonda waziwazi kipindi makonda akiwa ni kipenzi cha marehemu.
Si mjinga anajua anachokifanya na kusema. Mpaka sasa hoja zake hazijajibiwa ameishia kutukanwa tu.
Mwisho natoa wito watu mkachanjwe chale. Corona ipo.
Si mnafiki anazungumza anachokiamini. Mtu wa namna hii ni mzuri akipata wasaa wa kuamini jambo lenye faida kwa Taifa. Hayumbishwi. Tunapaswa kuwa na watu wa namna hii
Huyu ni mtu wa system au ana back up kubwa sana. Alianza jiamini toka serikali ya marehemu ni yeye pekee aliyeweza pambana na makonda waziwazi kipindi makonda akiwa ni kipenzi cha marehemu.
Si mjinga anajua anachokifanya na kusema. Mpaka sasa hoja zake hazijajibiwa ameishia kutukanwa tu.
Mwisho natoa wito watu mkachanjwe chale. Corona ipo.