Nionavyo kuhusu sakata la Mbowe na NHC

BUBERWA D.

JF-Expert Member
Apr 22, 2011
2,293
1,170
Ni utamaduni usiopendeza na unaozidi kujikita baina ya jamii yetu juu ya kutotenganisha sasa vyama vya siasa na mambo mengine.

Kwa jamii zilizostaarabika, mwanachama wa chama fulani cha siasa anaweza kufanya biashara na mtu wa chama kingine.

Ifahamike pia kuwa kiongozi wa chama fulani sio dhambi kufanya biashara ilimradi asichanganye siasa na biashara.

Kwa sasa kuna Suala la Mbowe hotels ltd na NHC kuhusu kudaiana na sakata la kuondoshwa kwenye pango hilo.

Mimi nadhani kampuni hiyo iliingia mkataba na NHC ambao unalindwa kisheria na sio kisiasa. Jambo la kushangaza, swala hili limeibua makundi mawili ambayo ukiyatizama yanaendeshwa na mihemuko na ushabiki wa kisiasa.

kuna wanaoipongeza NHC kwa kuiondosha kampuni hiyo kwenye pango na wengine wanaponda hatua hiyo, wote ukisoma ama kusikiliza hoja ama kelele zao ni mihemuko na ushabiki wa vyama vyao vya siasa.

Mimi nadhani Mbowe kama mtanzania mwingine anahaki ya kufanya biashara, Na NHC kama shirika la umma Lina haki ya kufanya biashara kwa mujibu wa sheria.

Tuwaache NHC na Mbowe hotels limited wamalize swala lao kwa mujibu wa mkataba wao na siyo porojo zetu za siasa uchwara.

Mbowe hotels ltd msitumie wanavyama vya siasa kupotosha ukweli ama kupata huruma maana biashara hiyo haiwahusu. Vilevile NHC tekelezeni shughuli zenu bila kushinikizwa na itikadi yoyote bali sheria kwa kuwa sheria ni msumeno.

Aidha nishauri tu kuwa kwa wanasiasa wafanyabiashara itapendeza kuona wanakuwa mstari wa mbele kulipa kodi maana ndiyo kipimo cha uzalendo kwa taifa. Kwa nchi nyingine kukwepa Kodi ni disqualification namba moja katika siasa.

Tuache kuchanganya siasa za vyama na mambo ya biashara.
 
Ni utamaduni usiopendeza na unaozidi kujikita baina ya jamii yetu juu ya kutotenganisha sasa za vyama vya siasa na mambo mengine.

kwa jamii zilizostaarabika, mwanachama wa chama flani cha siasa anaweza Fanya biashara na MTU wa chama kingine.

ifahamike pia kuwa kiongozi wa chama flani sio dhambi kufanya biashara ili mradi asichanganye siasa na biashara.

kwa sasa kuna Swala la mbowe hotels ltd na NHC kuhusu kudaiana na sakata la kuondoshwa kwenye pango hilo.

mie nadhani kampuni hiyo iliingia mkataba na NHC ambao unalindwa kisheria na sio kisiasa. jambo la kushanga, swala hili limeibua makundi mawili ambayo ukiyatizama yanaendeshwa na mihemuko na ushabiki wa kisiasa.

kuna wanaoipongeza NHC kwa kuiondosha kampuni hiyo kwenye pango na wengine waponda hatua hiyo. wrote ukisoma ama kusikiliza hoja ama kelele zao ni mihemuko na ushabiki wa vyama vyao vya siasa.

mie nadhani mbowe kama mtanzania mwingine anahaki ya kufanya biashara, Na NHC kama shirika la umma Lina haki ya kufanya biashara kwa mujibu wa sheria.

tuwaache NHC na mbowe hotels limited wamalize swala lao kwa mujibu wa mkataba wao na so porojo zetu za siasa uchwara.

mbowe hotels ltd msitumie wanavyama vya siasa kupotosha ukweli ama kupata huruma maana biashara hiyo haiwahusu. vilevile NHC tekelezeni shughuli zenu bila kushinikizwa na itikadi yoyote Bali sheria kwa kuwa sheria ni msumeno.

aidha nishauri tu kuwa kwa wanasiasa wafanyabiashara itapendeza kuona wanakuwa mstari wa mbele kulipa kodi maana ndiyo kipimo cha uzalendo kwa taifa. kwa inchi nyingine kukwepa Kodi ni disqualification namba moja katika siasa.

tuache kuchanganya siasa za vyama na mambo ya biashara.
Kudaiwa mtu sio kosa na kulipa ni uungwana. Lakini ukiangalia kwandani suala hili lina mkono wa siasa.

Wadaiwa wakubwa tunaambiwa ni wengi. Kwa nini waanze na huyu moja na si wawili? Kwa nini waanze tar 1 Sept?

Mbowe alipe lakini kuna mkono wa mtu ktk kulishughulikia zaidi ya NHC.
 
Ni utamaduni usiopendeza na unaozidi kujikita baina ya jamii yetu juu ya kutotenganisha sasa vyama vya siasa na mambo mengine.

Kwa jamii zilizostaarabika, mwanachama wa chama fulani cha siasa anaweza kufanya biashara na mtu wa chama kingine.

Ifahamike pia kuwa kiongozi wa chama fulani sio dhambi kufanya biashara ilimradi asichanganye siasa na biashara.

Kwa sasa kuna Suala la Mbowe hotels ltd na NHC kuhusu kudaiana na sakata la kuondoshwa kwenye pango hilo.

Mimi nadhani kampuni hiyo iliingia mkataba na NHC ambao unalindwa kisheria na sio kisiasa. Jambo la kushangaza, swala hili limeibua makundi mawili ambayo ukiyatizama yanaendeshwa na mihemuko na ushabiki wa kisiasa.

kuna wanaoipongeza NHC kwa kuiondosha kampuni hiyo kwenye pango na wengine wanaponda hatua hiyo, wote ukisoma ama kusikiliza hoja ama kelele zao ni mihemuko na ushabiki wa vyama vyao vya siasa.

Mimi nadhani Mbowe kama mtanzania mwingine anahaki ya kufanya biashara, Na NHC kama shirika la umma Lina haki ya kufanya biashara kwa mujibu wa sheria.

Tuwaache NHC na Mbowe hotels limited wamalize swala lao kwa mujibu wa mkataba wao na siyo porojo zetu za siasa uchwara.

Mbowe hotels ltd msitumie wanavyama vya siasa kupotosha ukweli ama kupata huruma maana biashara hiyo haiwahusu. Vilevile NHC tekelezeni shughuli zenu bila kushinikizwa na itikadi yoyote bali sheria kwa kuwa sheria ni msumeno.

Aidha nishauri tu kuwa kwa wanasiasa wafanyabiashara itapendeza kuona wanakuwa mstari wa mbele kulipa kodi maana ndiyo kipimo cha uzalendo kwa taifa. Kwa nchi nyingine kukwepa Kodi ni disqualification namba moja katika siasa.

Tuache kuchanganya siasa za vyama na mambo ya biashara.
Halafu mtu anasema mniombee, na hao viongozi wa dini wanakusanyika eti wanafanya sala! haya makanisa na misikiti vitakosa waumini pindi watu watakapojitambua ingawa bado sana- (Kule Mbeya mtu anaishukuru serikali kwa kepeleka kupatwa kwa jua Mbeya na mwaka kesho ifanye hivyo)
 
Kukwepa kodi ni kuhujumu uchumi, wapelekwe mahakamani.

Haiwezekani wahubiri mabadiliko kumbe wao ndio wa kwanza kuwaibia wananchi.

Chama la hovyo sijawahi kuona, wanayohubiri ni kinyume na wafanyayo.

Watanzania wenye akili timamu hawana hamu na machadema.
 
Kukwepa kodi ni kuhujumu uchumi, wapelekwe mahakamani.

Haiwezekani wahubiri mabadiliko kumbe wao ndio wa kwanza kuwaibia wananchi.

Chama la hovyo sijawahi kuona, wanayohubiri ni kinyume na wafanyayo.

Watanzania wenye akili timamu hawana hamu na machadema.
Nadhani una hasira zaidi kuliko logic. Hii sio kukwepa kodi ni madai ya pango
 
Kudaiwa mtu sio kosa na kulipa ni uungwana. Lakini ukiangalia kwandani suala hili lina mkono wa siasa.

Wadaiwa wakubwa tunaambiwa ni wengi. Kwa nini waanze na huyu moja na si wawili? Kwa nini waanze tar 1 Sept?

Mbowe alipe lakini kuna mkono wa mtu ktk kulishughulikia zaidi ya NHC.
Ili suala lilianza Feb 2015 tatizo mbowe alilichukulia kisiasa
 
Kudaiwa mtu sio kosa na kulipa ni uungwana. Lakini ukiangalia kwandani suala hili lina mkono wa siasa.

Wadaiwa wakubwa tunaambiwa ni wengi. Kwa nini waanze na huyu moja na si wawili? Kwa nini waanze tar 1 Sept?

Mbowe alipe lakini kuna mkono wa mtu ktk kulishughulikia zaidi ya NHC.
Mbowe ni mtoto had asijuwe ukidaiwa utafukuzwa na nyumba yenyewe niyakupanga?
 
Tusaidie isijekua tunamjadili mtu amabaye tayari keshalipa kodi na hadaiwi.

Ni vyema kutokuingia kwenye chuki zinazojengwa na watawala.Kesho yako hauijui.Wala atakayekuokota kesho haumjui.Watanzania tusichukiane sababu ya itikadi zetu,wanaotufanya tuchukiane kuna siku watakukimbia.Tuangalie Afrika ya Kati kilichotokea.Tusijifanye tuko nje ya dunia.

Mbowe ni Mtanzania na anahaki sawa na Mtanzania ambaye ni mwanachama wa CCM
 
Ni vyema kutokuingia kwenye chuki zinazojengwa na watawala.Kesho yako hauijui.Wala atakayekuokota kesho haumjui.Watanzania tusichukiane sababu ya itikadi zetu,wanaotufanya tuchukiane kuna siku watakukimbia.Tuangalie Afrika ya Kati kilichotokea.Tusijifanye tuko nje ya dunia.

Mbowe ni Mtanzania na anahaki sawa na Mtanzania ambaye ni mwanachama wa CCM
Wajibu wa kulipa kodi ni kwa kila raia, hii ni kutokana na sheria tulizojiwekea hapa nchini. Hivyo kama swala ni kulipa kodi ambayo inastahili sioni kama kuna chuki au niambaya kumwambia mtu atimize wajibu wake kisheria?
 
Nadhani una hasira zaidi kuliko logic. Hii sio kukwepa kodi ni madai ya pango
NHC ni mali ya serikali, hivyo anadaiwa na serikali. Kwa lugha rahisi sisi sote tudai atulipe fedha zetu.,..!
 
Back
Top Bottom