- Thread starter
- #21
Huyo mwanamke kama alizaa na mtu mwingine je huyo mwanaume yuko hai? na kama yuko hai ni nini sababu za wao kutokuwa pamoja? hapa mjomba unaingia choo kike, ni ngumu sana watu kuyagunduwa makosa haya hasa ukiwa tayari umeshaonjeshwa tunda la katikati.
Hivi pata picha siku huyo binti yake siku anaolewa sasa mpo kwenye shereha za harusi halafu pale mbele high table mke wako anakaa na mwanaume mwingine maana ndio baba mzazi wa huyo binti!......kuna fedheha nyingine huwa tunazitafuta wenyewe.
Ndio maana tupo JF.nakushukurusana kwa mawazo yako.