Ninyi Watanzania, hao wageni mnaowapa siri na kuchafua nchi yenu ndio hao wanaowasubiri mfe wote ili watawale ardhi yenu kwasababu ardhi yao imeshajaa

Ninyi Watanzania, hao wageni mnaowapa siri na kuchafua nchi yenu ndio hao wanaowasubiri mfe wote ili watawale ardhi yenu kwasababu ardhi yao imeshajaa

Pakome

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1,541
Reaction score
916
Moja kati ya wendawazimu unaofanywa na baadhi ya Watanzania ni kuungana na wageni kwa lengo la kudhalilisha nchi ya Tanzania na kuingiza kwenye machafuko

Wendawazimu hao wamepofuka wala hawajui kuwa wageni hao wanatafuta soko la silaha na ardhi ya ziada

Hao wageni wanaoungana nao wanataka Watanzania wafe wote ili wamiliki ardhi yenu kwasababu ardhi yao imeshajaa wanachokifanya sasa ni kutafuta ardhi ya ziada ili ziishi mbegu zao zilizokosa ardhi

Lakini pia wanaua miradi ya Tanzania kwa kutumia mapandikizi kwa lengo la kutaka wakabiziwe wao kama sivyo basi miradi ife ili fedha zilizokopwa zishindikane kulipa ili wachukue rehani iliyowekwa kubwa zaidi Tanzania ibaki kuwa masikini ili waendelee kuigeuze kama chapati

Watanzania wanaoungana na wageni kwa lengo la kuchafua na kupaka Tanzania kinyesi hawajitambui kwasababu baada ya hao wageni kufanikiwa kuipokonya Tanzania, hatua ya mwisho itakuwa kuwamaliza hao waliowasaidia

Sio rahisi kugundua kuwa Tanzania inavurugwa na wageni kwasababu wageni hao wanatumia raia wa Tanzania kuivuruga

Jambo ambalo linawia Watanzania ugumu kutambua nani mbaya na kuishia kulaumiana wao kwa wao

Hata akili ya maendeleo aliyeharibu ni wageni kwa lengo la kutaka Tanzania isifanikiwe kwenye miradi ya kukuza uchumi ili iendelee kugeuzwa kama chapati

Wageni hao wanahakikisha wanaweka mapandikizi yatakayohujumu miradi yote ya Serikali mbaya zaidi pandikizi hao ni raia wa Tanzania kwahiyo inakuwa vigumu kugundua nani mbaya

Pandikizi hao wanafanya kazi na Wakoloni na wanalipwa mamilioni ya fedha, kazi yao kubwa ni kuharibu nchi ili Wakoloni waendelee kuitia dole

Taifa lililoimarika kiuchumi huwa halifai kugeuza na hii ndiyo hofu kubwa ya wageni

Kila raisi atakayekuja mkali watahakikisha wanapita nae ili waendelee kubagaza Tanzania wanavyotaka wao hata kama watataka kuiingilia kwa njia yeyote ile iwe nyuma, mbele, kulia, kushoto basi iwe rahisi pasipokuwa na vikwazo vya aina yeyote ile

Matatizo yanayotokea Tanzania yanamchanganya hata raisi yeyote yule atakayeongoza kwasababu hajui siri hii anabaki tu kujiuliza mbona ametumbukizwa kwenye matatizo ambayo hata yeye mwenyewe hajui yametokeaje

Hii nikwasababu njia wanazotumia Wakoloni ni za kimafumbo sana tena ngumu sana ambazo kwa kiongozi wa kawaida hawezi kufumbua yeye atabaki kuona nchi ikivurugika huku yeye akiwa ametumbukia shimoni

Raisi Putin na Taore wanafahamu siri hii ndiyo sababu ya kuwekeza nguvu kubwa kuwakataa Wakoloni kwasababu wanafahamu kuwa wakiwapa nafasi lazima wawageuze kwa njia zote ikiwemo upinde na njia nyinginezo chafu ili waendelee kuwapiga dole
 
Ujinga tu. Mikataba mi ovu muingie wenyewe halafu muanze kusimgizia ardhi inataka kubebwa?

Leo semaji anatoka anasema nchi mbili zimeshindwa tazara hivyo wanakabidhi mradi kwa nchi Moja hii akili ya wapi? Kwa 30years.
 
Ujinga tu. Mikataba mi ovu muingie wenyewe halafu muanze kusimgizia ardhi inataka kubebwa?

Leo semaji anatoka anasema nchi mbili zimeshindwa tazara hivyo wanakabidhi mradi kwa nchi Moja hii akili ya wapi? Kwa 30years.
We hujui kuwa anayefelisha miradi ya Tanzania ni wageni kwa kutumia pandikizi wa Tanzania kwa lengo la kutaka Tanzania ibaki kuwa masikini ili waendelee kuitafuna??
 
We hujui kuwa anayefelisha miradi ya Tanzania ni wageni kwa kutumia pandikizi wa Tanzania kwa lengo la kutaka Tanzania ibaki kuwa masikini ili waendelee kuitafuna??
Suluhisho ni kumpa mgeni miaka 30 ya uendeshaji? Sheria za nchi na usimamizi wake upo wapi mpaka mtanzania alete hujuma?

Huko TISS WANAFANYA kazi Gani ikiwa miradi ya kulisaidia tafa inahujumiwa?
 
Suluhisho ni kumpa mgeni miaka 30 ya uendeshaji? Sheria za nchi na usimamizi wake upo wapi mpaka mtanzania alete hujuma?

Huko TISS WANAFANYA kazi Gani ikiwa miradi ya kulisaidia tafa inahujumiwa?
Mchakato wa kumpa anayeufanya ni huyo huyo mgeni ili afanikiwe kupata
 
we jamaa nikikutazama jicho la tatu lako
FB_IMG_1767193383299.jpg
 
we jamaa nikikutazama jicho la tatu lakoView attachment 3523243
Narudia tena anayefelisha miradi ya Tanzania ni wageni ili wakabiziwe wao
Anayeua ni wageni ili wapate soko la silaha pamoja na ardhi
We jicho la tatu la nini aliyesema watu waliwe jicho la tatu si Marekani???
Au umesahau???
 
we jamaa nikikutazama jicho la tatu lakoView attachment 3523243
Narudia tena anayefelisha miradi ya Tanzania ni wageni ili wakabiziwe wao
Anayeua ni wageni ili wapate soko la silaha pamoja na ardhi
We jicho la tatu la nini aliyesema watu waliwe jicho la tatu si Marekani???
Au umesahau
 
Moja kati ya wendawazimu unaofanywa na baadhi ya Watanzania ni kuungana na wageni kwa lengo la kudhalilisha nchi ya Tanzania na kuingiza kwenye machafuko

Wendawazimu hao wamepofuka wala hawajui kuwa wageni hao wanatafuta soko la silaha na ardhi ya ziada

Hao wageni wanaoungana nao wanataka Watanzania wafe wote ili wamiliki ardhi yenu kwasababu ardhi yao imeshajaa wanachokifanya sasa ni kutafuta ardhi ya ziada ili ziishi mbegu zao zilizokosa ardhi

Watanzania wanaoungana na wageni kwa lengo la kuchafua na kupaka Tanzania kinyesi hawajitambui kwasababu baada ya hao wageni kufanikiwa kuipokonya Tanzania, hatua ya mwisho itakuwa kuwamaliza hao waliowasaidia
Ni bora kurudi kuwa koloni la wanaojitambua kama watanzania hatuwezi kusimamia mambo yetu wenyewe kwa viwango hivi vinavyoshuhudiwa!
 
Ni bora kurudi kuwa koloni la wanaojitambua kama watanzania hatuwezi kusimamia mambo yetu wenyewe kwa viwango hivi vinavyoshuhudiwa!
Hii siri Watanzania watachelewa sana kuijua
Anayefelisha miradi ya Tanzania ni wageni kwa lengo la kutaka iendelee kubaki masikini ili waitawale wanavyotaka wao
 
Hii siri Watanzania watachelewa sana kuijua
Anayefelisha miradi ya Tanzania ni wageni kwa lengo la kutaka iendelee kubaki masikini ili waitawale wanavyotaka wao
Utamdanganya hata mtoto anayenyonya ila atakukataa na kulia kabisa kwani atapata hisia za kuwa wewe ni adui wa taifa lake na adui yake!
 
Utamdanganya hata mtoto anayenyonya ila atakukataa na kulia kabisa kwani atapata hisia za kuwa wewe ni adui wa taifa lake na adui yake!
Siri niliyokupa umesoma lakini? We hujui kuwa wao ndio wanaofelisha miradi ya Tanzania kwa kutumia mapandikizi ili waendelee kuigeuza kama chapati??
 
Shika neno langu litakusaidia
Anayefelisha miradi ya Tanzania ni wageni ili wakabiziwe wao
Anayeua ni wageni ili apate soko la silaha na ardhi
Upo sahihi kweli? Samuya ndiye ameuwa ndugu zetu wewe unamsingizia ngozi ya mtumba.
 
Back
Top Bottom