Alex Gk
Senior Member
- Sep 4, 2016
- 166
- 156
Salamu sana kwenu JF experts na sisi wengine ma newbies.
Najichanga bajeti alau niwe na around 350k hivi. Kwa sasa imebakia kidogo tu ili itimie hiyo bajeti.
UHITAJI ni kwamba napenda kujifunza graphics hususani video editing na design mbalimbali kwa kutumia programs za Photoshop, illustrator, InDesign, premier na maxon 4d mayor. Programs hizi zinahitaji mashine nzuri ili ziweze kufanya kazi vzuri. Sasa natarajia ninunue mashine ya kawaida ya kawaida computer tupu bila monitor, ila iweze kuwa na options za ku UPGRADE siku za mbeleni.
Je kwa bajeti ya around 350k hapo kariakoo nikachague mashine gani? Kwa maana brand name na yenye SPECIFICATIONS gani? Kwa manaa huko mbeleni ni UPGRADE mwenyewe.
NB. Nina basics za Photoshop na illustrator japo nilikuwa na laptop yenye uwezo mdogo nilikomaa nayo mwisho ikaja kufa kabisa mwezi wa kwanza, mwakain huu.
Karibuni kwa ushauri
Najichanga bajeti alau niwe na around 350k hivi. Kwa sasa imebakia kidogo tu ili itimie hiyo bajeti.
UHITAJI ni kwamba napenda kujifunza graphics hususani video editing na design mbalimbali kwa kutumia programs za Photoshop, illustrator, InDesign, premier na maxon 4d mayor. Programs hizi zinahitaji mashine nzuri ili ziweze kufanya kazi vzuri. Sasa natarajia ninunue mashine ya kawaida ya kawaida computer tupu bila monitor, ila iweze kuwa na options za ku UPGRADE siku za mbeleni.
Je kwa bajeti ya around 350k hapo kariakoo nikachague mashine gani? Kwa maana brand name na yenye SPECIFICATIONS gani? Kwa manaa huko mbeleni ni UPGRADE mwenyewe.
NB. Nina basics za Photoshop na illustrator japo nilikuwa na laptop yenye uwezo mdogo nilikomaa nayo mwisho ikaja kufa kabisa mwezi wa kwanza, mwakain huu.
Karibuni kwa ushauri