ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,256
😁Acha nikae kimyaHebu mtag tukusaidie kukuitia!
😁Acha nikae kimyaHebu mtag tukusaidie kukuitia!
Isije ikawa, unamuona na mnapishana tu kwenye nyuzi ila hamsalimiani kama mnaogopana vile 🤣😁Acha nikae kimya
Asante kwa kusema badala yangu! Nitazoea tu si ndiyo?Isije ikawa, unamuona na mnapishana tu kwenye nyuzi ila hamsalimiani kama mnaogopana vile 🤣
Daaah, kwahiyo mnafuatana kama kumbikumbi ila kubebishana hamtaki, au ndiyo umeachwa kimya kimya 🤣 😅Asante kwa kusema badala yangu! Nitazoea tu si ndiyo?
Nimeachwa kimya kimya, nilidhani ni likizo nimepewa ila hii sioni dalili😂Daaah, kwahiyo mnafuatana kama kumbikumbi ila kubebishana hamtaki, au ndiyo umeachwa kimya kimya 🤣 😅
Pole sana, tushushe uzi nini kwenye "love connect" tukutafutie replacement yake.Nimeachwa kimya kimya, nilidhani ni likizo nimepewa ila hii sioni dalili😂
Ila wewe!😂Pole sana, tushushe uzi nini kwenye "love connect" tukutafutie replacement yake.
Moja ya vigezo ni we anaishi ughaibuni 🤣 🤣
Haya basi jaribu uone, namjua mkaka wa kaskazini yuko Marekani, nikuunge naye 🤣 🤣 ?Ila wewe!😂
Sijawahi date watu wa ughaibuni, nataka ambae kwake nauli ni buku kwenda na kurudi
Aunty nipo
Hiyo naijua, hapana😂Haya basi jaribu uone, namjua mkaka wa kaskazini yuko Marekani, nikuunge naye 🤣 🤣 ?
Usiogope buana 🤣 hang'ati 😅Hiyo naijua, hapana😂
All the bestAunty nipo
I miss you toooooooo❤️
💕💕Thanks youAll the best💕💕
Ni kwenye keyboard au na live uko hivyo 😁Najivunia ujeuri lasivyo ningekua na idadi kubwa ya kudate na MAMBWA 😹😹
Ndivyo nilivyo tena nje ya keyboard jeuri hata kucheka sicheki 😹😹Ni kwenye keyboard au na live uko hivyo 😁
Type yangu kabisa 🤗Ndivyo nilivyo tena nje ya keyboard jeuri hata kucheka sicheki 😹😹
Huyu Nomadiq naona anamuwinda Lamomynani kafufua huu uzi🤣🤣 ulikua wa moto saivi imebaki historia🤸♀️