Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,763
- 27,160
- Thread starter
- #381
Kwanini MAMBWA lakini ๐๐Najivunia ujeuri lasivyo ningekua na idadi kubwa ya kudate na MAMBWA ๐น๐น
Kwanini MAMBWA lakini ๐๐Najivunia ujeuri lasivyo ningekua na idadi kubwa ya kudate na MAMBWA ๐น๐น
Ataoga mitusi na udugu wetu mkinga huwa anataka alipwe na pesa ya kupotezewa muda ๐ ๐we muache na mimi namzoom tu angejua udugu wetu akikasirika anadai breakup na mitusi juu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
na yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo๐๐๐ kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anieleweAtaoga mitusi na udugu wetu mkinga huwa anataka alipwe na pesa ya kupotezewa muda ๐ ๐
Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana ๐ฐ๐ฐna yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo๐๐๐ kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anielewe
hili nalo neno ngoja nijaribu,,, ila dada angu ni tajeeer hizi sio shida zake jamni๐๐ sijui kwanini anakua mgum hivi dah๐Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana ๐ฐ๐ฐ
Hebu mwambie akuweke tu shop uwe winga, utajilipa mwenyewe kwa commission.
Sumu haijaribiwi kwa kulamba..!! ๐นType yangu kabisa ๐ค
Huyo kampeni zake kaanza kitambo anapenda hekaheka zangu..!! ๐น๐นHuyu Nomadiq naona anamuwinda Lamomy
Kasema type yake ni wanawake jeuri ๐ ๐ ๐ kama ujeuri unauweza unaweza kujichomeka!
Blockchain njoo hapa, uniambie ulikua wapi?
๐น๐น๐น Wanaume wote mbwaKwanini MAMBWA lakini ๐๐
๐น๐น๐น Ntakuchapawe muache na mimi namzoom tu angejua udugu wetu akikasirika anadai breakup na mitusi juu๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Khaaaaaโฆ!!! ๐น๐น๐นAtaoga mitusi na udugu wetu mkinga huwa anataka alipwe na pesa ya kupotezewa muda ๐ ๐
๐น๐น๐น Wewe slay queen utaweza kushuka na mzigo wa vijora kutoka ghorofa ya 10?na yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo๐๐๐ kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anielewe
Anaweza kuwinga juani bila sunscreen ๐น๐น๐นAnaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana ๐ฐ๐ฐ
Hebu mwambie akuweke tu shop uwe winga, utajilipa mwenyewe kwa commission.
Utaweza kulala na nyoka? ๐น๐น๐นhili nalo neno ngoja nijaribu,,, ila dada angu ni tajeeer hizi sio shida zake jamni๐๐ sijui kwanini anakua mgum hivi dah๐
Hadi mshamba_hachekwi๐น๐น๐น Wanaume wote mbwa
Kuna matajiri humu wana wanadeal na bilions tu, wanaishi majuu, huwaonagi wanavyotamba humu ๐ ๐Khaaaaaโฆ!!! ๐น๐น๐น
Na pesa zenyewe wanazo sasa??
Ngoja aje, mimi binafsi siwezi kabisaAnaweza kuwinga juani bila sunscreen ๐น๐น๐น
Analijua jua la kkoo lakini?
Linakupiga mpk ukiulizwa rais wa USA nani? Unajikuta unasema chalamila oohhh..!! ๐น๐น๐คฃ
Mimi atasema ni sokwe kabisa๐
Huyo ndio no 1 bosco kabisa ๐น๐นHadi @mshamba_hachekwi
๐น๐น๐น Waongooo mahi..!!Kuna matajiri humu wana wanadeal na bilions tu, wanaishi majuu, huwaonagi wanavyotamba humu ๐ ๐
Mimi atasema ni sokwe kabisa๐
๐คฃ ๐คฃ daaah!Huyo ndio no 1 bosco kabisa ๐น๐น
Najua, ukiona mtu anajigamba sana basi ujue hakuna kitu!๐น๐น๐น Waongooo mahi..!!
Keyboard masifa hao, hawana shinkumi kipande njaa tupu..!!
Tena unaweza ukawa umewapita maisha trust me..!!
Nimecheka kama mjinga ๐คฃ๐คฃHao waliopo majuu kazi yao kupelekea moto vibabu na vibibi vya kitasha..!!
Wengine wenye nguvu za kuku (mahanithi) kazi yao kuchambisha wazungu. Wenye sura za NIPIGE TAFU kulima mashambani na kutunza mifugo..!! ๐น๐น๐น๐โโ๏ธโโก๏ธ๐โโ๏ธโโก๏ธ๐โโ๏ธโโก๏ธ๐โโ๏ธโโก๏ธ
Haa haa, ukipigwa vizuri utatulia ๐Ninakoelekea nna dalili zote za kupigwa..!! UTANIPONZA MAHI
Wewe ulikuwa unafanya mchezo mbaya umeshtuka kunywa maji..!! ๐น๐น๐คฃ ๐คฃ daaah!
Najua, ukiona mtu anajigamba sana basi ujue hakuna kitu!
Nimechekaa kama mjinga ๐คฃ๐คฃ
View attachment 3555241
Haa haa, ukipigwa vizuri utatulia ๐