Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
- Thread starter
- #381
Kwanini MAMBWA lakini 😂😂Najivunia ujeuri lasivyo ningekua na idadi kubwa ya kudate na MAMBWA 😹😹
Kwanini MAMBWA lakini 😂😂Najivunia ujeuri lasivyo ningekua na idadi kubwa ya kudate na MAMBWA 😹😹
Ataoga mitusi na udugu wetu mkinga huwa anataka alipwe na pesa ya kupotezewa muda 😂 😂we muache na mimi namzoom tu angejua udugu wetu akikasirika anadai breakup na mitusi juu🤣🤣🤣🤣
na yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo😆😆😆 kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anieleweAtaoga mitusi na udugu wetu mkinga huwa anataka alipwe na pesa ya kupotezewa muda 😂 😂
Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana 💰💰na yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo😆😆😆 kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anielewe
hili nalo neno ngoja nijaribu,,, ila dada angu ni tajeeer hizi sio shida zake jamni😆😆 sijui kwanini anakua mgum hivi dah😔Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana 💰💰
Hebu mwambie akuweke tu shop uwe winga, utajilipa mwenyewe kwa commission.
Sumu haijaribiwi kwa kulamba..!! 😹Type yangu kabisa 🤗
Huyo kampeni zake kaanza kitambo anapenda hekaheka zangu..!! 😹😹Huyu Nomadiq naona anamuwinda Lamomy
Kasema type yake ni wanawake jeuri 😂 😂 😂 kama ujeuri unauweza unaweza kujichomeka!
Blockchain njoo hapa, uniambie ulikua wapi?
😹😹😹 Wanaume wote mbwaKwanini MAMBWA lakini 😂😂
😹😹😹 Ntakuchapawe muache na mimi namzoom tu angejua udugu wetu akikasirika anadai breakup na mitusi juu🤣🤣🤣🤣
Khaaaaa…!!! 😹😹😹Ataoga mitusi na udugu wetu mkinga huwa anataka alipwe na pesa ya kupotezewa muda 😂 😂
😹😹😹 Wewe slay queen utaweza kushuka na mzigo wa vijora kutoka ghorofa ya 10?na yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo😆😆😆 kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anielewe
Anaweza kuwinga juani bila sunscreen 😹😹😹Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana 💰💰
Hebu mwambie akuweke tu shop uwe winga, utajilipa mwenyewe kwa commission.
Utaweza kulala na nyoka? 😹😹😹hili nalo neno ngoja nijaribu,,, ila dada angu ni tajeeer hizi sio shida zake jamni😆😆 sijui kwanini anakua mgum hivi dah😔
Hadi mshamba_hachekwi😹😹😹 Wanaume wote mbwa
Kuna matajiri humu wana wanadeal na bilions tu, wanaishi majuu, huwaonagi wanavyotamba humu 😂 😂Khaaaaa…!!! 😹😹😹
Na pesa zenyewe wanazo sasa??
Ngoja aje, mimi binafsi siwezi kabisaAnaweza kuwinga juani bila sunscreen 😹😹😹
Analijua jua la kkoo lakini?
Linakupiga mpk ukiulizwa rais wa USA nani? Unajikuta unasema chalamila oohhh..!! 😹😹🤣
Mimi atasema ni sokwe kabisa😃
Huyo ndio no 1 bosco kabisa 😹😹Hadi @mshamba_hachekwi
😹😹😹 Waongooo mahi..!!Kuna matajiri humu wana wanadeal na bilions tu, wanaishi majuu, huwaonagi wanavyotamba humu 😂 😂
Mimi atasema ni sokwe kabisa😃
🤣 🤣 daaah!Huyo ndio no 1 bosco kabisa 😹😹
Najua, ukiona mtu anajigamba sana basi ujue hakuna kitu!😹😹😹 Waongooo mahi..!!
Keyboard masifa hao, hawana shinkumi kipande njaa tupu..!!
Tena unaweza ukawa umewapita maisha trust me..!!
Nimecheka kama mjinga 🤣🤣Hao waliopo majuu kazi yao kupelekea moto vibabu na vibibi vya kitasha..!!
Wengine wenye nguvu za kuku (mahanithi) kazi yao kuchambisha wazungu. Wenye sura za NIPIGE TAFU kulima mashambani na kutunza mifugo..!! 😹😹😹🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️
Haa haa, ukipigwa vizuri utatulia 😂Ninakoelekea nna dalili zote za kupigwa..!! UTANIPONZA MAHI
Wewe ulikuwa unafanya mchezo mbaya umeshtuka kunywa maji..!! 😹😹🤣 🤣 daaah!
Najua, ukiona mtu anajigamba sana basi ujue hakuna kitu!
Nimechekaa kama mjinga 🤣🤣
View attachment 3555241
Haa haa, ukipigwa vizuri utatulia 😂