Nini unajivunia siku ya leo?

Nini unajivunia siku ya leo?

na yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anielewe
Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ฐ
Hebu mwambie akuweke tu shop uwe winga, utajilipa mwenyewe kwa commission.
 
Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ฐ
Hebu mwambie akuweke tu shop uwe winga, utajilipa mwenyewe kwa commission.
hili nalo neno ngoja nijaribu,,, ila dada angu ni tajeeer hizi sio shida zake jamni๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† sijui kwanini anakua mgum hivi dah๐Ÿ˜”
 
Huyu Nomadiq naona anamuwinda Lamomy
Kasema type yake ni wanawake jeuri ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ kama ujeuri unauweza unaweza kujichomeka!

Blockchain njoo hapa, uniambie ulikua wapi?
Huyo kampeni zake kaanza kitambo anapenda hekaheka zangu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Yani nashangaa kuna viumbe wanathubutu vipi kunisogelea me?
 
we muache na mimi namzoom tu angejua udugu wetu akikasirika anadai breakup na mitusi juu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Ntakuchapa
 
na yule mkinga kwa kupenda pesa hajambo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† kila siku naomba connection aniajiri nikasaidizane na kijana wake mtu mfupi ila haniskii sijui kwanini,, jaribu kuongea nae anielewe
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Wewe slay queen utaweza kushuka na mzigo wa vijora kutoka ghorofa ya 10?
Huku hakutaki waeka tips na kope ohh..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ
 
Anaichungulia pesa yake, akifikiria inabidi akulipe kila mwezi, anaona parefu sana ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ’ฐ
Hebu mwambie akuweke tu shop uwe winga, utajilipa mwenyewe kwa commission.
Anaweza kuwinga juani bila sunscreen ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Analijua jua la kkoo lakini?
Linakupiga mpk ukiulizwa rais wa USA nani? Unajikuta unasema chalamila oohhh..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Wanaume wote mbwa
Hadi mshamba_hachekwi
Khaaaaaโ€ฆ!!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Na pesa zenyewe wanazo sasa??
Kuna matajiri humu wana wanadeal na bilions tu, wanaishi majuu, huwaonagi wanavyotamba humu ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Anaweza kuwinga juani bila sunscreen ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Analijua jua la kkoo lakini?
Ngoja aje, mimi binafsi siwezi kabisa
Linakupiga mpk ukiulizwa rais wa USA nani? Unajikuta unasema chalamila oohhh..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ
download.gif
 
Hadi @mshamba_hachekwi
Huyo ndio no 1 bosco kabisa ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Kuna matajiri humu wana wanadeal na bilions tu, wanaishi majuu, huwaonagi wanavyotamba humu ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Waongooo mahi..!!
Keyboard masifa hao, hawana shinkumi kipande njaa tupu..!!

Tena unaweza ukawa umewapita maisha trust me..!!

Hao waliopo majuu kazi yao kupelekea moto vibabu na vibibi vya kitasha..!!
Wengine wenye nguvu za kuku (mahanithi) kazi yao kuchambisha wazungu. Wenye sura za NIPIGE TAFU kulima mashambani na kutunza mifugo..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ

Ninakoelekea nna dalili zote za kupigwa..!! UTANIPONZA MAHI
 
Huyo ndio no 1 bosco kabisa ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ daaah!
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Waongooo mahi..!!
Keyboard masifa hao, hawana shinkumi kipande njaa tupu..!!

Tena unaweza ukawa umewapita maisha trust me..!!
Najua, ukiona mtu anajigamba sana basi ujue hakuna kitu!
Hao waliopo majuu kazi yao kupelekea moto vibabu na vibibi vya kitasha..!!
Wengine wenye nguvu za kuku (mahanithi) kazi yao kuchambisha wazungu. Wenye sura za NIPIGE TAFU kulima mashambani na kutunza mifugo..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ
Nimecheka kama mjinga ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
giphy-downsized 9.GIF

Ninakoelekea nna dalili zote za kupigwa..!! UTANIPONZA MAHI
Haa haa, ukipigwa vizuri utatulia ๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom