Nini unajivunia siku ya leo?

Nini unajivunia siku ya leo?

Ila enzo usijitoe ufahamu! Ungekua na hela tusingekesha kipindi kile kama wehu kusubiri vocha za bure.

Mods walitukosea kufuta ule uzi, nilikua nina uhakika wa bundle, zikimwagwa nazoa hadi za 20k😂
Nakumbuka ulipataga vocha za elfu 20 ephen akee 😀😃😀
 
Nilizipata kwa siku 1 halafu, vocha nilizozoa hata 70k zinafika
Matajiri wa jf wangeendelea kumwaga ningefungua biashara ya kurusha vocha
Wacha wewe 😂 😁 😃 😃 ndio maana Kila siku huwa namuombea kwa mwenyezi mungu tajiri Bantu Lady Aishi maisha marefu sana yule siku ile nilipata vocha za elfu 35 walahi 😎
 
Njoo tushare yale ambayo tumeamka tunajivunia na yanatupa furaha kwa siku ya leo.

Binafsi, leo kwenye safari yangu ya kupunguza uzito, rasmi nimeshuka chini ya 70kg, najivunia na nimefurahi sana.

View attachment 3469077

Nikifika lengo langu la uzito ninaoutaka nitarudi kuwasimulia mapito na hekaheka za safari hii ambayo nimeianza tokea January na nikaja humu in February kuomba ushauri (NISAIDIENI NIPUNGUE) - kwa sasa, I'm proud of myself.
Hongera sana, umepiga hatua kubwa sana.

Wanawake wengine wajifunze kwako sio wasingizie eti unene ndo urembo.
 
Naungana na mke wangu kujivunia kamwili portable alikokapata baada ya kupunguza mwili
Najua inakuuma mkia kuondoka, ila vumilia tu 😍😍 kamwili kawe kadogo niweze kukaa juu zaidi ya dakika 2 😅

giphy-downsized.gif
 
Hongera sana, umepiga hatua kubwa sana.

Wanawake wengine wajifunze kwako sio wasingizie eti unene ndo urembo.
Asante sana , ushauri wako wa February niliuchukua nikatafuta nutritionist, nikajifunza kuhusu the science behind weight loss, tukatengeneza meal plans na imenisaidia sana.
 
Back
Top Bottom