Nini tatizo la RC Mrisho Gambo na wasaidizi wake?

Nini tatizo la RC Mrisho Gambo na wasaidizi wake?

Gambo ni kiongozi na sio mtawala jamaa namkubali sana sana, amejaliwa hekima na busara

Sent using Jamii Forums mobile app
Hekima ya kumlisha kiongozi mwingine maneno??

Bora ingekuwa ndiyo mara ya kwanza, bali Gambo amekua na mutukio ya namna hii kwenye vikao sio chini ya vitatu na huwafanyia hivi wakuu wengine wa wilaya na wengine wa chini yake kwa nia ya kuwa-outsmart.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona wanachama wenzangu wa Chama Cha Mapinduzi wakiongelea kwa hisia tukio la Mkuu wa Mkoa Arusha ndugu yangu Mrisho Mashaka Gambo na Mkuu wa Wilaya ya Arusha ndugu yangu Gabriel Daqaro.

Bahati nzuri hawa wote ni marafiki zangu tofauti ni kuwa Dc wa Arusha siyo mwanasiasa kabisa lakini wote wawili wanafanana kuwa ni watu Wapole machoni pa watu.

Nakumbuka mwaka 2016 Mh Rc Arusha aliwahi kupatikana na tukio kama ili dhidi ya aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambaye kwa sasa ni mkuu wa Mkoa Manyara Mdogo wangu Alexander Pastory Mnyeti ambapo Mheshimiwa Gambo aliamua kumtimua kwenye kikao.

Sijajua nini kinampata Mheshimiwa Mrisho Gambo sijui ule mwili wake Mdogo watendaji wa chini yake wanamdharau au sijui tatizo ni nini?

Matukio kama Haya inaonyesha jinsi ambavyo watendaji wa serikali hawaelewani na kama hawaelewani maana yake achievement inakuwa ndogo.

Hivi karibuni tulimsikia Waziri Mkuu akiwaagiza mawaziri kwenda mkoa wa Kilimanjaro kusuluhisha mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na madc wake.

Kwa mantiki hii inayoonyesha kuwa kuna shida kubwa ya mahusiano ya kikazi kati ya hawa makamisaa.

Ningewaomba wanaccm tufanye utafiti sana kabla ya kuongea na kushutumu upande wowote.

Katibu mkuu wa ccm Dr Bashiru Ally aliwahi kutamka mikoa ambayo hakuna mahusiano mazuri ya kiutendaji kati ya chama na Serikali.

Mkoa wa kwanza ilikuwa Mara, Arusha, Dar es salaam na Mbeya lakini kiujumla mahusiano ya Viongozi hayako sawa sehemu nyingi.

Utakuta Madc hawaelewani na maded Marc na makatibu Tawala mikoa Marc na ofisi za chama hawaelewani mbaya zaidi siku hizi wanachama wengi wa ccm ni wafuasi wa Viongozi.

Wanachama wengi wa ccm siku hizi wanashabikia Viongozi kuliko chama.

Kwahiyo kila kiongozi kwa nafasi yake ametengeneza wafuasi wake.

Leo ukitaka kukosoa utendaji wa Viongozi ndani ya chama na serikali utaambiwa una wivu na matusi ya wafuasi utayaoga.

Na hata ili la Arusha wafuasi wa Viongozi wako busy kutetea wapambe wao suala maadili ya Viongozi wa chama hakuna anayejali.

Na hii tabia ya wafuasi wa Viongozi imetamalaki mpk kwenye ngazi ya maamuzi kila kiongozi ana Godfather wake Ndiyo maana hukawii sasa hivi ndani ya chama matamko ya wanachama hayaishi hata kama hayana tija kwa chama au taifa ili mradi aonekane.

Kusema ukweli mahusiano ya kikazi kati ya Mkuu wa Mkoa Arusha na wasaidizi ina shida siyo mazuri sana.

Na Frey Cosseny

Sent using Jamii Forums mobile app
kama ni CCM toaneni hata macho kabisa.
nyonyaneni hata damu.
ng'oaneni kucha kabisa.
hayo meno yenu nayo vunjaneni!!!
 
I remember those days kabla hata ya kupata cheo chochote, mitaa ya sakina, Arusha.

Kinachomponza Mdogo wangu Mrisho, ni ile hali ya kuzungumza bila uwoga. Huwa anasema kilichopo moyoni, na ana misimamo yake ambayo ana amini ni misimamo sahihi. Hilo tu ndiyo kosa lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Misimamo ya kuamini kuwa yeye tu ndiyo yupo sahihi muda wote ni misimamo ya mtu anayetakiwa kwenda walau Google tu na kujisomea how to be a good leader/manager.
Hiyo misimamo yake inamsababisha anakuwa na negative attitude.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona wanachama wenzangu wa Chama Cha Mapinduzi wakiongelea kwa hisia tukio la Mkuu wa Mkoa Arusha ndugu yangu Mrisho Mashaka Gambo na Mkuu wa Wilaya ya Arusha ndugu yangu Gabriel Daqaro.

Bahati nzuri hawa wote ni marafiki zangu tofauti ni kuwa Dc wa Arusha siyo mwanasiasa kabisa lakini wote wawili wanafanana kuwa ni watu Wapole machoni pa watu.

Nakumbuka mwaka 2016 Mh Rc Arusha aliwahi kupatikana na tukio kama ili dhidi ya aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambaye kwa sasa ni mkuu wa Mkoa Manyara Mdogo wangu Alexander Pastory Mnyeti ambapo Mheshimiwa Gambo aliamua kumtimua kwenye kikao.

Sijajua nini kinampata Mheshimiwa Mrisho Gambo sijui ule mwili wake Mdogo watendaji wa chini yake wanamdharau au sijui tatizo ni nini?

Matukio kama Haya inaonyesha jinsi ambavyo watendaji wa serikali hawaelewani na kama hawaelewani maana yake achievement inakuwa ndogo.

Hivi karibuni tulimsikia Waziri Mkuu akiwaagiza mawaziri kwenda mkoa wa Kilimanjaro kusuluhisha mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na madc wake.

Kwa mantiki hii inayoonyesha kuwa kuna shida kubwa ya mahusiano ya kikazi kati ya hawa makamisaa.

Ningewaomba wanaccm tufanye utafiti sana kabla ya kuongea na kushutumu upande wowote.

Katibu mkuu wa ccm Dr Bashiru Ally aliwahi kutamka mikoa ambayo hakuna mahusiano mazuri ya kiutendaji kati ya chama na Serikali.

Mkoa wa kwanza ilikuwa Mara, Arusha, Dar es salaam na Mbeya lakini kiujumla mahusiano ya Viongozi hayako sawa sehemu nyingi.

Utakuta Madc hawaelewani na maded Marc na makatibu Tawala mikoa Marc na ofisi za chama hawaelewani mbaya zaidi siku hizi wanachama wengi wa ccm ni wafuasi wa Viongozi.

Wanachama wengi wa ccm siku hizi wanashabikia Viongozi kuliko chama.

Kwahiyo kila kiongozi kwa nafasi yake ametengeneza wafuasi wake.

Leo ukitaka kukosoa utendaji wa Viongozi ndani ya chama na serikali utaambiwa una wivu na matusi ya wafuasi utayaoga.

Na hata ili la Arusha wafuasi wa Viongozi wako busy kutetea wapambe wao suala maadili ya Viongozi wa chama hakuna anayejali.

Na hii tabia ya wafuasi wa Viongozi imetamalaki mpk kwenye ngazi ya maamuzi kila kiongozi ana Godfather wake Ndiyo maana hukawii sasa hivi ndani ya chama matamko ya wanachama hayaishi hata kama hayana tija kwa chama au taifa ili mradi aonekane.

Kusema ukweli mahusiano ya kikazi kati ya Mkuu wa Mkoa Arusha na wasaidizi ina shida siyo mazuri sana.

Na Frey Cosseny

Sent using Jamii Forums mobile app

Gabriel Qadaro mkuu wa wilaya ya Arusha ni mtu makini na muadilifu ni kijana aliyepikwa na siyo mwanasiasa.

Mafunzo aliyopitia ni ya moja jumlisha moja ni mbili. Mara nyingi ni mtu wa kuchagua maneno na hapendi mbwembwe kwenye utendaji. Anafikiri kabla ya kutenda jambo na anahakikisha ana taarifa sahihi kuhusu jambo husika.

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo ni mtu wa mihemeko japo ni darling wa watawala kutokana na hulka yake ya kupenda sifa.

Ni msema hovyo kama ilivyokuwa kiongozi kule Korogwe alipomtukana yule dada mwanasheria wa halmashauri Korogwe kuhusu degree yake.

Vilevile aliwahi kutoa matamshi ya kibaguzi kwenye Baraza la UVCMM mkoa wa Pwani kwamba rais hawezi kutoka kazkazini.

Ushauri wangu ni kwamba viongozi watakuja na kupita bali Tanzania itasimama daima. Hivyo basi tuijali Tanzania kuliko hawa viongozi wasema hovyo. Tusipotilia hili maanani litatugharimu kama taifa huko tuendako.
 
Misimamo ya kuamini kuwa yeye tu ndiyo yupo sahihi muda wote ni misimamo ya mtu anayetakiwa kwenda walau Google tu na kujisomea how to be a good leader/manager.
Hiyo misimamo yake inamsababisha anakuwa na negative attitude.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza ukawa sahihi na nakubali kwamba ukiwa kiongozi ni lazima usikilize upande wa pili.

Niliyo yasema ni uhalisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gambo ni mtu makini mnoo ndo Rc pekee anayejielewa
Ndo maana Frey kasema makundi yamezidi...wewe unasema ni RC makini halafu wafuasi wa DC watasema nn unafikiria? Wewe ni mfuasi wa RC usiishie kusema Gambo ni RC pekee anaejielewa na sisi wafuasi wa RC wa Simiyu tusemeje?
Wewe leta data zako hapa utueleze umakini wa Gambo na kwa nini DC ndo shida,nje ya hapo ni ushabiki tu unakusumbua.
Unataka kutuambia yule DC ni kichaa au hajui kuwa Gambo ni bosi wake? Ukiona hivyo alishavumilia na imefikia kwenye point of no return. Japo kimaadili ya kazi hapo DC alichemka lakini tusikimbilie solution,source yake ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lipo kwa Mamlaka ya Uteuzi sio kwa wateuliwa

1) Principle of chain of command
Rais Au Waziri kuwasiliana Moja kwa Moja na DC na kumruka RC Ni Makosa , RC nae kuwasiliana Moja kwa Moja Na Rais bila ya kupitia kwa PM Au Waziri w Tamisemi Ni Makosa Pia Na ndicho kilichotokea,

2) Job description; haijawa clear kwa Kila Mtu kujua wajibu wake Na kwa Nani Ana report

3) Zamani nafasi Kama hizi Za RCs na DCs walikuwa wanapewa watu ambao tayari wana exposure ya kutosha Na kujua namna Serikal inavyofanya kazi Mf. Wakurugenzi wa Halmashauri wastaafu au Wakuu wa Idara ambao wanajua namna Serikal inavyofanya kazi

Paul Makonda, Ally Happy wameanzia Moja kwa Moja wameanza ajira ya kwanza wakiwa ma DC ni Sawa Na dereva kuanza Safar yake ya kwanza Kwenye Safar Za kimataifa Halafu umshangae Kwanini kasimama Kwenye 'Zebra'
 
Wameanza kulana wenyewe kwa wenyewe,wanakoelekea wataanza kufanyana pyuupyuu wenyewe kwa wenyewe.
 
Nimeona wanachama wenzangu wa Chama Cha Mapinduzi wakiongelea kwa hisia tukio la Mkuu wa Mkoa Arusha ndugu yangu Mrisho Mashaka Gambo na Mkuu wa Wilaya ya Arusha ndugu yangu Gabriel Daqaro.

Bahati nzuri hawa wote ni marafiki zangu tofauti ni kuwa Dc wa Arusha siyo mwanasiasa kabisa lakini wote wawili wanafanana kuwa ni watu Wapole machoni pa watu.

Nakumbuka mwaka 2016 Mh Rc Arusha aliwahi kupatikana na tukio kama ili dhidi ya aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambaye kwa sasa ni mkuu wa Mkoa Manyara Mdogo wangu Alexander Pastory Mnyeti ambapo Mheshimiwa Gambo aliamua kumtimua kwenye kikao.

Sijajua nini kinampata Mheshimiwa Mrisho Gambo sijui ule mwili wake Mdogo watendaji wa chini yake wanamdharau au sijui tatizo ni nini?

Matukio kama Haya inaonyesha jinsi ambavyo watendaji wa serikali hawaelewani na kama hawaelewani maana yake achievement inakuwa ndogo.

Hivi karibuni tulimsikia Waziri Mkuu akiwaagiza mawaziri kwenda mkoa wa Kilimanjaro kusuluhisha mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na madc wake.

Kwa mantiki hii inayoonyesha kuwa kuna shida kubwa ya mahusiano ya kikazi kati ya hawa makamisaa.

Ningewaomba wanaccm tufanye utafiti sana kabla ya kuongea na kushutumu upande wowote.

Katibu mkuu wa ccm Dr Bashiru Ally aliwahi kutamka mikoa ambayo hakuna mahusiano mazuri ya kiutendaji kati ya chama na Serikali.

Mkoa wa kwanza ilikuwa Mara, Arusha, Dar es salaam na Mbeya lakini kiujumla mahusiano ya Viongozi hayako sawa sehemu nyingi.

Utakuta Madc hawaelewani na maded Marc na makatibu Tawala mikoa Marc na ofisi za chama hawaelewani mbaya zaidi siku hizi wanachama wengi wa ccm ni wafuasi wa Viongozi.

Wanachama wengi wa ccm siku hizi wanashabikia Viongozi kuliko chama.

Kwahiyo kila kiongozi kwa nafasi yake ametengeneza wafuasi wake.

Leo ukitaka kukosoa utendaji wa Viongozi ndani ya chama na serikali utaambiwa una wivu na matusi ya wafuasi utayaoga.

Na hata ili la Arusha wafuasi wa Viongozi wako busy kutetea wapambe wao suala maadili ya Viongozi wa chama hakuna anayejali.

Na hii tabia ya wafuasi wa Viongozi imetamalaki mpk kwenye ngazi ya maamuzi kila kiongozi ana Godfather wake Ndiyo maana hukawii sasa hivi ndani ya chama matamko ya wanachama hayaishi hata kama hayana tija kwa chama au taifa ili mradi aonekane.

Kusema ukweli mahusiano ya kikazi kati ya Mkuu wa Mkoa Arusha na wasaidizi ina shida siyo mazuri sana.

Na Frey Cosseny

Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala wa wateja wa Mirembe hospital tutaona na kusikia mengi
 
Ndo maana Frey kasema makundi yamezidi...wewe unasema ni RC makini halafu wafuasi wa DC watasema nn unafikiria? Wewe ni mfuasi wa RC usiishie kusema Gambo ni RC pekee anaejielewa na sisi wafuasi wa RC wa Simiyu tusemeje?
Wewe leta data zako hapa utueleze umakini wa Gambo na kwa nini DC ndo shida,nje ya hapo ni ushabiki tu unakusumbua.
Unataka kutuambia yule DC ni kichaa au hajui kuwa Gambo ni bosi wake? Ukiona hivyo alishavumilia na imefikia kwenye point of no return. Japo kimaadili ya kazi hapo DC alichemka lakini tusikimbilie solution,source yake ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Gumbo alitaka kuhamisha goli... Maelekezo yalitolewa na Waziri, na mkuu Wa mkoa anajua hilo... Inakuwaje aanze tena oooh Mkuu Wa wilaya aliona kasoro ...alitaka kumuangushia jumba bovu DC...
 
Hawa wote wawili sehemu ya majukumu yao kwenye vyeo vyao ni fitina kwa mpinzani yoyote wa ccm.

Gambo aliwahi kumlisha Lema maneno na kupotosha kwa maneno kwenye speech ikamlazimu Lema kuingilia speech ya Gambo, makada wa CCM walimshukia Lema kuwa hana nidhamu wakiamini kijana Gambo alistahili kumfitinisha Lema na wadhamini wa mradi wa kituo cha mama na mtoto.
Leo yamewafika fitna hizo wanahamishiana wao kwa wao yani ni kama kula nyama ya mtu huwezi kuacha.

Naamini fitna ni sehemu ya topic muhimu sana wanayofundishwa huko UVCCM.

Cheo kimoja kimmeze mwenzake au vyote vifutwe as long as hivi ni vyeo venye mizizi ya kikoloni.

Rasimu ya Warioba iko na suluhisho la hili tatizo la Gambo na mwenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na yule DC sura anafanana sana na Lema!
 
Nimeona wanachama wenzangu wa Chama Cha Mapinduzi wakiongelea kwa hisia tukio la Mkuu wa Mkoa Arusha ndugu yangu Mrisho Mashaka Gambo na Mkuu wa Wilaya ya Arusha ndugu yangu Gabriel Daqaro.

Bahati nzuri hawa wote ni marafiki zangu tofauti ni kuwa Dc wa Arusha siyo mwanasiasa kabisa lakini wote wawili wanafanana kuwa ni watu Wapole machoni pa watu.

Nakumbuka mwaka 2016 Mh Rc Arusha aliwahi kupatikana na tukio kama ili dhidi ya aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Arumeru ambaye kwa sasa ni mkuu wa Mkoa Manyara Mdogo wangu Alexander Pastory Mnyeti ambapo Mheshimiwa Gambo aliamua kumtimua kwenye kikao.

Sijajua nini kinampata Mheshimiwa Mrisho Gambo sijui ule mwili wake Mdogo watendaji wa chini yake wanamdharau au sijui tatizo ni nini?

Matukio kama Haya inaonyesha jinsi ambavyo watendaji wa serikali hawaelewani na kama hawaelewani maana yake achievement inakuwa ndogo.

Hivi karibuni tulimsikia Waziri Mkuu akiwaagiza mawaziri kwenda mkoa wa Kilimanjaro kusuluhisha mgogoro kati ya Mkuu wa Mkoa na madc wake.

Kwa mantiki hii inayoonyesha kuwa kuna shida kubwa ya mahusiano ya kikazi kati ya hawa makamisaa.

Ningewaomba wanaccm tufanye utafiti sana kabla ya kuongea na kushutumu upande wowote.

Katibu mkuu wa ccm Dr Bashiru Ally aliwahi kutamka mikoa ambayo hakuna mahusiano mazuri ya kiutendaji kati ya chama na Serikali.

Mkoa wa kwanza ilikuwa Mara, Arusha, Dar es salaam na Mbeya lakini kiujumla mahusiano ya Viongozi hayako sawa sehemu nyingi.

Utakuta Madc hawaelewani na maded Marc na makatibu Tawala mikoa Marc na ofisi za chama hawaelewani mbaya zaidi siku hizi wanachama wengi wa ccm ni wafuasi wa Viongozi.

Wanachama wengi wa ccm siku hizi wanashabikia Viongozi kuliko chama.

Kwahiyo kila kiongozi kwa nafasi yake ametengeneza wafuasi wake.

Leo ukitaka kukosoa utendaji wa Viongozi ndani ya chama na serikali utaambiwa una wivu na matusi ya wafuasi utayaoga.

Na hata ili la Arusha wafuasi wa Viongozi wako busy kutetea wapambe wao suala maadili ya Viongozi wa chama hakuna anayejali.

Na hii tabia ya wafuasi wa Viongozi imetamalaki mpk kwenye ngazi ya maamuzi kila kiongozi ana Godfather wake Ndiyo maana hukawii sasa hivi ndani ya chama matamko ya wanachama hayaishi hata kama hayana tija kwa chama au taifa ili mradi aonekane.

Kusema ukweli mahusiano ya kikazi kati ya Mkuu wa Mkoa Arusha na wasaidizi ina shida siyo mazuri sana.

Na Frey Cosseny

Sent using Jamii Forums mobile app
Gambo ni mtu makini mnoo ndo Rc pekee anayejielewa
Huyu naye si alipata madaraka yake kwa kumpindua Dr Ntibenda (sijui kama jina ni sahihi). Au watu wanasahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom