Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Wanabodi heshima kwenu.
Mwaka unaishia sisi kama Jf wa jukwaa la Siasa mwaka 2012 chama kikuu cha Upinzani au kinachounda Kambi Rasmi katika Uwakilishi wetu bungeni tulikishuhudia kikiendesha siasa za majukwaani kwa njia ya mikutano na upashaji wa habari kwa kutumia jukwaa hili.
Vilevile siasa za ndani ya bunge zikiongozwa na Mwenyekiti Mhe Mbowe, Tundu Lissu na wabunge wenzake
Makao makuu wakiongozwa na Rais wa Ukweli Katibu mkuu Dr. Slaa Safu yake wakiibua mikakati kama vile M4C na mingineyo kuchochea mabadiliko.
Nini tathimini yako
1. Kwa harakati za CHADEMA ndani ya bunge na nje ya bunge.
2. Unawapongeza kwa yapi waliyofanikisha kuchochea mabadiliko.
Nakumbuka jk aliamua mpaka kubadili baraza la mawaziri, piga chini muhando,kuibua ufisadi mpya Uswiss, madai ya tembo piga chini maige, nk
3.Mikakati na mambo walivyoyaendesha
4. Walipokuangusha au waliposhindwa
Kuwa huru kuwapongeza, Kuwakosoa walipokosea na Ushashauri wako kwa mwaka 2013 wa muhimu wazo huweza leta mabadiliko chanya
Mwaka unaishia sisi kama Jf wa jukwaa la Siasa mwaka 2012 chama kikuu cha Upinzani au kinachounda Kambi Rasmi katika Uwakilishi wetu bungeni tulikishuhudia kikiendesha siasa za majukwaani kwa njia ya mikutano na upashaji wa habari kwa kutumia jukwaa hili.
Vilevile siasa za ndani ya bunge zikiongozwa na Mwenyekiti Mhe Mbowe, Tundu Lissu na wabunge wenzake
Makao makuu wakiongozwa na Rais wa Ukweli Katibu mkuu Dr. Slaa Safu yake wakiibua mikakati kama vile M4C na mingineyo kuchochea mabadiliko.
Nini tathimini yako
1. Kwa harakati za CHADEMA ndani ya bunge na nje ya bunge.
2. Unawapongeza kwa yapi waliyofanikisha kuchochea mabadiliko.
Nakumbuka jk aliamua mpaka kubadili baraza la mawaziri, piga chini muhando,kuibua ufisadi mpya Uswiss, madai ya tembo piga chini maige, nk
3.Mikakati na mambo walivyoyaendesha
4. Walipokuangusha au waliposhindwa
Kuwa huru kuwapongeza, Kuwakosoa walipokosea na Ushashauri wako kwa mwaka 2013 wa muhimu wazo huweza leta mabadiliko chanya