Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,333
ishara hz zitafuatana nao waaminio;kwa jina langu watatoa pepo................wataweka mikono yao juu ya wagonjwa,nao watapata afya marko 16;17,18.......is any among you sick?let him call the elders,,,,,,,,,,,,,,, ungekuwa karibu ningekuwekea mkono yangetoka hayo sababu ishara zinanifuata.ktk ulmwengu wa kroho unapata sawasawa na imani yako ila mponyaji n YESU KRISTO