Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Naomba mtu mwenye tafsiri kamili ya hii ndoto.
Jana nimeota nipo eneo fulani hivi, nikiangalia nimevaa shati jeupe na kuna watu nipo naona karibu japi siwajui ila miongoni mwa hao watu akawa kuna mmoja kama anajaribu kukwepa ndege anayeitwa popo anayezinguka juu akipaa akiwa anamnyea huyo mtu.
Gafla huyo ndege akaanza kunielekea mimi na akaanza kuninyea kichwani akiwa juu nikawa nawakimbilia hao watu kukwepa yule ndege asininyee ila haikusaidia nilipo zinduka usingizini nikawa nahisi kama ni tukio la kweli then nikaanza kusikia kichwa kinauma mpaka sasa bado kichwa kinaniuma uma. Usiku huo nimefanya maombi ila nahisi naitaji kuchukua hatua zaidi.
Sasa ndugu zangu mwenye uwelewa wa haya mambo naomba anifafanuliwe kuhusu hilo.
Naomba mtu mwenye tafsiri kamili ya hii ndoto.
Jana nimeota nipo eneo fulani hivi, nikiangalia nimevaa shati jeupe na kuna watu nipo naona karibu japi siwajui ila miongoni mwa hao watu akawa kuna mmoja kama anajaribu kukwepa ndege anayeitwa popo anayezinguka juu akipaa akiwa anamnyea huyo mtu.
Gafla huyo ndege akaanza kunielekea mimi na akaanza kuninyea kichwani akiwa juu nikawa nawakimbilia hao watu kukwepa yule ndege asininyee ila haikusaidia nilipo zinduka usingizini nikawa nahisi kama ni tukio la kweli then nikaanza kusikia kichwa kinauma mpaka sasa bado kichwa kinaniuma uma. Usiku huo nimefanya maombi ila nahisi naitaji kuchukua hatua zaidi.
Sasa ndugu zangu mwenye uwelewa wa haya mambo naomba anifafanuliwe kuhusu hilo.