Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
mpenzi ninaye, lakini ikipita wiki hatujangombana nashangaa sana. simaanishi kupigana, ila tunakorofishana vijimaneno vidogo,mara ananinunìa bila sababu,mara nahisi kumchukia. in short mahusiano yangu huwa hayadumu kwa muda mrefu. ninaweza kuwa na mahusiano na mtu halafu yakaishia hewani hewani bila hata kugombana yaani yanapotea tu.
Then ndugu yangu, fuata huo ushauri wa wadau hapo juu. The devil amenafanya kazi ya ziada katika kuhakikisha mahusiano hayaendi vizuri.
Unahitaji derivelance!