Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

w0rM

Member
May 3, 2011
68
164
Wakuu salama

Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

Ukiangalia tangu atotolewe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara mnamo Juni 8, 2019 hadi sasa amekuwa Waziri katika Wizara 5 (Kipindi cha miaka 4).

Kwenye Wizara ya Viwanda na Biashara ndio Wizara pekee alikaa kwa zaidi ya mwaka moja.

Juni 8, 2019 - aliteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara (miezi 22)

Machi 31, 2021 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo (miezi 9)

Januari 8, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (miezi 9)

Octoba 2, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (miezi 11)

Na jana Agosti 30, 2023 Rais Samia amemteuwa kuwa Waziri wa Ujenzi.

Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa kwenye Wizara hizi? Hii ya sasa atamaliza mwaka?
 
Wakuu salama

Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa kwenye Wizara hizi? Hii ya sasa atamaliza mwaka?
Sio kwamba anafanya maajbu ila yule ni kipenyo full stop anapelekwa kwenda kunusa kilichomo kisha anapeleka briefing kivyake kwa mteuzi
 
Wakuu salama

Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

Ukiangalia tangu atotolewe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara mnamo Juni 8, 2019 hadi sasa amekuwa Waziri katika Wizara 5 (Kipindi cha miaka 4).

Kwenye Wizara ya Viwanda na Biashara ndio Wizara pekee alikaa kwa zaidi ya mwaka moja.

Juni 8, 2019 - aliteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara (miezi 22)

Machi 31, 2021 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo (miezi 9)

Januari 8, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (miezi 9)

Octoba 2, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (miezi 11)

Na jana Agosti 30, 2023 Rais Samia amemteuwa kuwa Waziri wa Ujenzi.

Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa kwenye Wizara hizi? Hii ya sasa atamaliza mwaka?
Mwulize Rais
 
Wakuu salama

Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

Ukiangalia tangu atotolewe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara mnamo Juni 8, 2019 hadi sasa amekuwa Waziri katika Wizara 5 (Kipindi cha miaka 4).

Kwenye Wizara ya Viwanda na Biashara ndio Wizara pekee alikaa kwa zaidi ya mwaka moja.

Juni 8, 2019 - aliteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara (miezi 22)

Machi 31, 2021 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo (miezi 9)

Januari 8, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (miezi 9)

Octoba 2, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (miezi 11)

Na jana Agosti 30, 2023 Rais Samia amemteuwa kuwa Waziri wa Ujenzi.

Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa kwenye Wizara hizi? Hii ya sasa atamaliza mwaka?
This underground gentlemen, is among the most powerful individuals within the gov as well as within the ruling party.
ni hatari kumuacha nje ya mfumo.
 
Wakuu salama

Innocent Bashungwa ambaye jana ameteuliwa kuwa Waziri wa Ujenzi amekuwa Waziri anayehamishwa Wizara mara nyingi sana. Nini hasa kipo nyuma ya Bashungwa kuhamishwa Wizara kila mara?

Ukiangalia tangu atotolewe kuwa Naibu Waziri wa Kilimo na kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara mnamo Juni 8, 2019 hadi sasa amekuwa Waziri katika Wizara 5 (Kipindi cha miaka 4).

Kwenye Wizara ya Viwanda na Biashara ndio Wizara pekee alikaa kwa zaidi ya mwaka moja.

Juni 8, 2019 - aliteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara (miezi 22)

Machi 31, 2021 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo (miezi 9)

Januari 8, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) (miezi 9)

Octoba 2, 2022 - Aliteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (miezi 11)

Na jana Agosti 30, 2023 Rais Samia amemteuwa kuwa Waziri wa Ujenzi.

Nini siri ya Bashungwa kuhamishwa kwenye Wizara hizi? Hii ya sasa atamaliza mwaka?
Hajamzidi Mchengerwa na Pindi Chana
 
Back
Top Bottom