Nini siri ya baadhi ya watu kutozeeka mapema?

Nini siri ya baadhi ya watu kutozeeka mapema?

Umembiwa sina bustani baba. Ndiyo tatizo lako rafiki yangu huwa unakurupuka sana. Hata hivyo unavyo huko uchaggani lakini auishi huko. Unasubiri ufe ukazikwe huko. Si ajabu muda huu uko Lindi au Simiyu
Ni Kweli hko uchagani Jumba langu nimeweka mwangalizi WA kisukuma analitunza yupo vizuri sana Ana enjoy greenish environment
Sio Lindi au simiyu tu Hadi Eindhoven,Paris, Cologne, Melbourne nishafika ndio harakati za maisha sio kuzaliwa itilima,kusoma itilima,kufanya harakati itilima,kufia itilima na kuzikwa itilima[emoji3][emoji3] hayo ni maisha au gereza ?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Baba/Mama tafuta ela uzee utausikia kwenye redio mbao, Muangalie Mama nasibu chombo mpya usipoangalia vizuri unaweza sema kigoli umnyapie.
Ingekuwa ukiwa na hela huzeeki basi Billgate asingemuwa vile alivyo...
 
Magojwa
Kazi ngumu
Pombe
Lishe duni
Ni Kweli hko uchagani Jumba langu nimeweka mwangalizi WA kisukuma analitunza yupo vizuri sana Ana enjoy greenish environment
Sio Lindi au simiyu tu Hadi Eindhoven,Paris, Cologne, Melbourne nishafika ndio harakati za maisha sio kuzaliwa itilima,kusoma itilima,kufanya harakati itilima,kufia itilima na kuzikwa itilima[emoji3][emoji3] hayo ni maisha au gereza ?[emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahahahaaa
 
Black don’t easily crack.
Mfano:
•Tunanunua machungwa tunayala kama yalivyo instead of yakiwa juice. That’s really healthy
•Vyakula vyetu vile vya asili viko very nutritious kama maboga, mfano sisi bibi alikuwa anatupikia mboga ya mbegu za magoba. Mboga ni tamu hiyo balaa. Saivi ndio watu wannanua unga wa maboga instead ununue boga ulipike ule na mbegu uziandae mwenyewe.
•Waswahili tunavyopenda nazi, tukitumia nazi kupikia wali na mboga zingine badala ya mafuta it’s really healthy.
Yani kwa kifupi tuko blessed na vyakula vya kila aina ambavyo vinatunawirisha. Haya mambo ya kuzeeka mapema ni tunajitakia tukishaingiza stress za madeni, mapenzi na vitu vya namna hiyo. But good nutritious food, peace of mind and love is all we need. Na pesa jamani. Muhimu saaaaana. Mnoooooo. Ukiwa broke ndio utazeeka ushangae 😀
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] chaputa watakuruhusu?
Kwa cheo na wadhifa nilionao kama mtunza hazina, sidhani kama nitapata ruhusa ( ibara ya 8, kifungu kidogo C, kinanikataza hayo )

Anyways, ngoja nionane na mwanasheria nipate ushauri wa kitaalamu juu ya hili..!
 
Usizae mapema wala usizae watoto wengi hii ni kwa wanawake ....Kingine vyakula ,furaha ,mazingira hatarishi kwa afya kama kupikia kuni ,magonjwa ,amani ya moyo pamoja na upendo ..
Tatu binti Saadi aliolewa akiwa na miaka 11 kafa akiwa na umri wa miaka 80 kaacha watoto 15 kutozeeka mapema ni umbile la mtu pia mawazo na magonjwa ndivyo vinavyo zeesha mtu mapema
 
Walimu ndio hawazeeki imagine kwa siku masaa nane anatembeatembea tu na kukimbizana na wanafunzi
 
Nilipata muda wa kwenda kutembea katika moja ya shule nilizosoma ambapo ni takriban miaka 9 sasa toka niondoke hapo.

Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivyowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao.

Nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukuwa rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?
Punguza hi kitu
IMG_20230828_180246.jpg
 
Sababu za kuwa na muonekano wa kizee/kuzeeka haraka:

-Unachokula (organic vs non-organic);
-Kulakula hovyo (yaani wewe asbh,mchn,jion mlo)
  • Kutokunywa maji ya kutosha.
  • Kupenda sukari.
  • Kula sana nyama.
  • Kutokuwa na maisha active/kukosa tizi. - Kutolala muda wa kutosha.
  • Pombe (Hii ndo chanzo kikuu).
  • Sigara.
 
Kula vizuri
Fanya mazoezi (sio lazima gym)
Lala vizuri
Usifatilie maisha ya watu
Peace of mind muhimu pia
Ukiweza Funga (fasting) kula mlo mmoja tu jioni (kuanzia asubuh ni maji,coffee/juice yakutengeneza mwenyewe au chai au tunda,,, jion kabla ya saa1 msosi ndio imetoka) haya mavyakula ndio yanafanya watu wazeeke au kupata visukari nk,,,Thanks me later!!
COFFEE = Not that good for health !!
 
Back
Top Bottom