nkanziga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 700
- 1,116
Nilipata muda wa kwenda kutembea katika moja ya shule nilizosoma ambapo ni takriban miaka 9 sasa toka niondoke hapo.
Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivyowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao.
Nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukuwa rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?
Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivyowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao.
Nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukuwa rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?