Nini siri ya baadhi ya watu kutozeeka mapema?

Nini siri ya baadhi ya watu kutozeeka mapema?

Nilipata muda wa kwenda kutembea katika moja ya shule nilizosoma ambapo ni takriban miaka 9 sasa toka niondoke hapo.

Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao, nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukua rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?
Mazoezi
Muziki
Kupuuza mambo
Aina ya kazi
Kula vizuri
Kujisomea
Kimo
 
Acha Kula vyakula vya wanga Kwa wingi,Kula sana mboga za majani na matunda huku ukipiga na mazoezi mepesimepesi,sure hutazeeka.
Hilo ndio jibu kabisaaa hujapepesa mdomo.


Hats kwa 6*6 utapanda na kushuka bila tatizo
 
Mboga mboga na zisiive sana. Kama unapitisha kwenye maji ya moto 100°C dakika na kuzitoa.

Nyama nyekundu achaa nayo. Kula Sea food na Kuku Pekee.
Kuku wa kienyeji unamaanisha
 
Kwa ufahamu wangu mdogo
Cha kwanza nivyakula
Pili mazoezi silazima kwenda beba jim unaweza hata tembea dk 30 Kwa siku,
Tatu stress control….hapa ndio wengi hufeli they ask themselves why me…always ukipata changamoto jiulize nifanyeje natatuaje.
Nne ulevi wakupindukia bilalishe bora
 
Kwa ufahamu wangu mdogo
Cha kwanza nivyakula
Pili mazoezi silazima kwenda beba jim unaweza hata tembea dk 30 Kwa siku,
Tatu stress control….hapa ndio wengi hufeli they ask themselves why me…always ukipata changamoto jiulize nifanyeje natatuaje.
Nne ulevi wakupindukia bilalishe bora
Juinsi ambassadors hapo kwenye 4 tumeokoka
 
Back
Top Bottom