Nini siri ya baadhi ya watu kutozeeka mapema?

Nini siri ya baadhi ya watu kutozeeka mapema?

Minamaanisha namna ya kupata pesa, kuna anaepata kirahisi sana na mwingine kupata hata pesa ya kula ni shida. Labda nikudokezee kidogo 'wanaojua kucheza na ulimwengu wa roho wanapata pesa kwa urahisi" kwao pesa ni kama makaratasi tu!! Hawazeeki mapema.
 
Kula vizuri
Fanya mazoezi (sio lazima gym)
Lala vizuri
Usifatilie maisha ya watu
Peace of mind muhimu pia
Ukiweza Funga (fasting) kula mlo mmoja tu jioni (kuanzia asubuh ni maji,coffee/juice yakutengeneza mwenyewe au chai au tunda,,, jion kabla ya saa1 msosi ndio imetoka) haya mavyakula ndio yanafanya watu wazeeke au kupata visukari nk,,,Thanks me later!!
 
Kula vizuri
Fanya mazoezi (sio lazima gym)
Lala vizuri
Usifatilie maisha ya watu
Peace of mind muhimu pia
Ukiweza Funga (fasting) kula mlo mmoja tu jioni (kuanzia asubuh ni maji,coffee/juice yakutengeneza mwenyewe au chai au tunda,,, jion kabla ya saa1 msosi ndio imetoka) haya mavyakula ndio yanafanya watu wazeeke au kupata visukari nk,,,Thanks me later!!
Kwenye kufunga sasa hapo
 
Minamaanisha namna ya kupata pesa, kuna anaepata kirahisi sana na mwingine kupata hata pesa ya kula ni shida. Labda nikudokezee kidogo 'wanaojua kucheza na ulimwengu wa roho wanapata pesa kwa urahisi" kwao pesa ni kama makaratasi tu!! Hawazeeki mapema.

Ulimwengu wa roho unaletaje fedha mkuu?
 
Nilipata muda wa kwenda kutembea katika moja ya shule nilizosoma ambapo ni takriban miaka 9 sasa toka niondoke hapo.

Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao, nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukua rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?
Genetics
Maisha mazuri na hela ya kujiweka vizuri
Vyakula vizuri
Dark skin haizeeki sana na jua unlike light skin
 
Kula vizuri
Fanya mazoezi (sio lazima gym)
Lala vizuri
Usifatilie maisha ya watu
Peace of mind muhimu pia
Ukiweza Funga (fasting) kula mlo mmoja tu jioni (kuanzia asubuh ni maji,coffee/juice yakutengeneza mwenyewe au chai au tunda,,, jion kabla ya saa1 msosi ndio imetoka) haya mavyakula ndio yanafanya watu wazeeke au kupata visukari nk,,,Thanks me later!!

NAUNGA mkono hoja,

Mwili n chakula,tunapaswa kula kwa uangalifu mkubwa katka dunia hii ilyojaa sumu
 
Nilipata muda wa kwenda kutembea katika moja ya shule nilizosoma ambapo ni takriban miaka 9 sasa toka niondoke hapo.

Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao, nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukua rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?
Maumbile ya mtu kuna wafupi walefu wembamba matipwa tipwa kutozeeka mapema ni udogo ulioumbi
 
Walimu tupewe maua yetu, ni sisi ndio hatuzeeki.....siri ni kwamba tunafanya kazi tumerelax sana changamoto ni vi madeni tu vya hapa na pale ila maisha yetu yametawaliwa na nyakati za furaha nyingi (mishe mishe na watoto)
 
Nilipata muda wa kwenda kutembea katika moja ya shule nilizosoma ambapo ni takriban miaka 9 sasa toka niondoke hapo.

Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao, nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukua rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?
Mi ni mmojawapo.
Nipokuwa 30+ watu wakidhani nipi 20++,
Kwenye 40 + watu hudhani nipo 30+
Kuna jamaa aliniambia wewe jamaa huzeeki. Nika.uiliza unataka nizeeke?
Bahati mbaya kimekuja kitambi uchwara kama nwaka sasa naona ndio kinanipeleka uzeeni.
Sababu kuu.
1.Urithi
2. Mazingira
3. Kazi unazofanya.
4. Vinywaji unavyokunywa.
5.Lishe hasa matunda, kama miaka 10 iliopita nilikuwa nakula sana matunda.
6.kula kidogo
7. Mazoezi.
.8.kufunga japo sasa hivi nimeacha
9. Kutokutumia sigara. Niliacha sigara 2012.
Sigara ni mbaya sana, zinachakaza ngozi na kunyausha mwili.
11. Ngono kiasi
12. Kuendesha baiskeli..
Kikubwa sana Acha urafi.
Juzi nilienda hospitali, pembezoni kuna mgahawa sasa likaja bonge la mama yaani watu 3 kwa mtu mmoja.
Likaagiza supu ya ngombe, ilipoletwa likaanza kuikagua kagua na kubeza kuwa limepunjwa nyama. Imagine tabia kama hio ya uroho huku ni mnene wa kupitiliza, atatoboa vipi, kila sehemu ya mwili imenenepa aka matairi.
Tupunguze uroho, tutaishi maisha marefu.
 
Back
Top Bottom