Melelani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 542
- 536
Viazi, mahindi na unga wake, wali, mihogo n.kWanga kwa maana ya vyakula kama vipi.. wali?
Viazi, mahindi na unga wake, wali, mihogo n.kWanga kwa maana ya vyakula kama vipi.. wali?
Kwasababu huwa mnawachapa watoto wa watuWalimu tupewe maua yetu, ni sisi ndio hatuzeeki.....siri ni kwamba tunafanya kazi tumerelax sana changamoto ni vi madeni tu vya hapa na pale ila maisha yetu yametawaliwa na nyakati za furaha nyingi (mishe mishe na watoto)
Nani huyu?Tumuulize mwamba huyu hapa, ametimiza miaka 50 sasa.
View attachment 2734585
[emoji16][emoji16][emoji16]Baba/Mama tafuta ela uzee utausikia kwenye redio mbao, Muangalie Mama nasibu chombo mpya usipoangalia vizuri unaweza sema kigoli umnyapie.
Hii ni kutokana na kucheka sana hasa pale wanaposahisha mitihani sometime majibu ya wanafunzi yanafurahishanje kidogo ya mada,
naonaga walimu hawazeeki haraka au ni mimi tu😂
Na mimi ndio nashangaaUlimwengu wa roho unaletaje fedha mkuu?
Una maana walimu hawazeeki au?Nilipata muda wa kwenda kutembea katika moja ya shule nilizosoma ambapo ni takriban miaka 9 sasa toka niondoke hapo.
Kuna watu nimewakuta hapo ambao niliwaacha walinishangaza sana, wamebadilika miaka tu lakini kimuonekano wako vile vile kama nilivowaacha miaka 9 nyuma na kuna wengine wamezeeka na mvi kibao, nilipata shauku ya kutaka kujua siri iliyopo ila muda haukua rafiki kwangu hivyo nimeona sio mbaya kuuliza kwenu wakuu sababu ni nini, ni vitu vya kurithi ama kuna namna mtu anaweza ishi ikamfanya awe hivyo?
Wanacheka jinsi baadhi ya wanafunzi walivyojibu maswali. Nilishakaa jirani na mwalimu wa Biology form 2 akiwa anasahisha mitihani anacheka peke yake ndaniWanacheka maswali yalotungwa na kujibiwa na wanafunzi
Matunda na mboga mboga tu utapataje nguvu? Wewe ni vegetarian?Wali na Ugali,hasahasa unga wa Sembe na maandazi ni hatari Kwa ngozi yako!!
Mboga za majani na matunda ni suluhu ya uzee Kwa Sasa.
Punguza ulaji wa vyakula vyenye Wanga na Nyama hivyo mbadala wake uwe Matunda na Mbogamboga
Mi mwenyewe siweziNitaweza kuacha wali kweli mm
Maisha bila wali yangekuwaje duh
Alafu ukutane na kiporo cha wali maharage asubuhi na chai ya moto weee kama ni hivyo acha nizeeke tu kwanza mimi wali maharage ndio umenikuza eti nije niukane ukubwani hapanaNitaweza kuacha wali kweli mm
Maisha bila wali yangekuwaje duh
Ulishawahi muuliza siri ya mafanikio?Kuna huyo babu toka miaka ya 1998 nipo katoto yuko vile vile mpaka leo, sasa mama yangu ambae ana miaka 50+ anakwambia huyo babu yupo hivyo hivyo toka wao bado wadogo. Mpaka leo hajabadilika chochote na anatembea vizuri tuu kweli Mungu kweli wa ajabu na kambariki sana.