Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Nape anaongea kama nani? nilidhani hili suala la DOWANS is beyond CCM na CHADEMA bali ni issue ya nchi nzima na ni wakati sasa wa Amiri Jeshi mkuu wa Kaya atoe msimamo wa Serikali. Where is JK? Where is Ngeleja? where is the cabinet?