Habar wana jukwaa,
Naomba kujuzwa au kupewa mawazo ya kisheria juu ya adhabu ambayo inaweza pewa hospital kwa kutumia vyeti na leseni ya mtu kwa kufoji mkataba na sign yake ili ionekane mtu yupo hapo kama full time worker.
Muhusika bila kujua chochote na pasina makubaliano yeyote mwisho wa siku anakuja kugundua kua vyeti vyake na leseni vinatumika hospital flani bila yeye kua na makubaliano nao.
Tayar muhusika ana ushahidi wote wa huo mkataba uliofojiwa na dodoso za mfumo wa kusajili wafanyakazi kutoka wizarani.
Huyu muhusika anaweza kuchkua hatua zipi kupata haki yake?
Naomba mawazo yenu wakuu na ushauri katika hili.
Natanguliza shukrani.
Naomba kujuzwa au kupewa mawazo ya kisheria juu ya adhabu ambayo inaweza pewa hospital kwa kutumia vyeti na leseni ya mtu kwa kufoji mkataba na sign yake ili ionekane mtu yupo hapo kama full time worker.
Muhusika bila kujua chochote na pasina makubaliano yeyote mwisho wa siku anakuja kugundua kua vyeti vyake na leseni vinatumika hospital flani bila yeye kua na makubaliano nao.
Tayar muhusika ana ushahidi wote wa huo mkataba uliofojiwa na dodoso za mfumo wa kusajili wafanyakazi kutoka wizarani.
Huyu muhusika anaweza kuchkua hatua zipi kupata haki yake?
Naomba mawazo yenu wakuu na ushauri katika hili.
Natanguliza shukrani.