Nini Maana ya Philosophy?

Nini Maana ya Philosophy?

Nice! Opinion brother!
Siyo opinion, ni fact!
Unajua kwa mfano nikikuambia kuwa wewe utakuja kuwa mwalimu mzuri sana au ni mwalimu mzuri sana (kama kweli wewe ni mwalimu), hiyo inakuwa ni opinion; lakini nikisema kwamba wewe ni binadamu na si mnyama, hiyo ni fact. Hiyo ndiyo tofauti ya kimantiki kati ya maneno haya mawili. By the way, mchnganuo huu nao tena umetumia falsafa! Kwa hiyo falsafa ni muhimu sana kwa sababu huwa inakuwepo kila mahali katika maisha yetu ya kila siku
 
Ukiwa Na Hekima Ya Kuweza Kutatua Au Kuonesha Njia Ya Kutatua Matatizo Katika Jamii Yako
Ndugu, Salam
Umenena vyema, ila naomba niweke kwenye usawa ulio makinika, ni ngumu kuweza kutatua changamoto kama hauna mantiki, mantiki ndiyo inayoamsha hamu ya kuongea au kufanya unachofanya.

Kumbuka katika vitu hivi duniani watu wanaweza kufanya vitu kwa namna mbili tu Mihemko au Mantiki; Hivyo ndio vitu vinawatofautisha kati ya mtu na mtu, jamii ya watu etc.

Hivyo inawezekana wakawa hawana Elimu hizo ulizotaja, lakini mantiki lazima wawe nayo.

Mwanafalsafa anatumia Mantiki za Kimazingira na za matokeo tarajiwa.

Nawasilisha.
 
Ndugu, Salam
Umenena vyema, ila naomba niweke kwenye usawa ulio makinika, ni ngumu kuweza kutatua changamoto kama hauna mantiki, mantiki ndiyo inayoamsha hamu ya kuongea au kufanya unachofanya.

Kumbuka katika vitu hivi duniani watu wanaweza kufanya vitu kwa namna mbili tu Mihemko au Mantiki; Hivyo ndio vitu vinawatofautisha kati ya mtu na mtu, jamii ya watu etc.

Hivyo inawezekana wakawa hawana Elimu hizo ulizotaja, lakini mantiki lazima wawe nayo.

Mwanafalsafa anatumia Mantiki za Kimazingira na za matokeo tarajiwa.

Nawasilisha.
Asante Sana Mkuu.
Ni Sahihi Usemacho, Ila Ni Vigumu Mtu Mwenye Hekima Kukosa Mantiki.
 
Back
Top Bottom