Kwa kweli tunahitaji mjadala wa Kitaifa wa kisheria kuhusu maana halisi ya 'Uchochezi'.
Kwa nini limekuwa prominent namna hii in recent times? Seriously we need to know what is going on
Unaposema hivyo na hatimaye ukasema watu wasache uoga maana yake ni waende wakamdhuru.Kuna siku nilikuwa namsikiliza mwanasheria mmoja kwenye radio - TBC kuhusu uchochezi, alisema hivi kwa mfano unaweza ukasema kwamba mtu fulani amefanya kosa hili na lile, lakini utakapotoa hukumu au kushawishi watu waende kumdhuru namna fulani ndo utakuwa umechochea watu. lakini ukiishia kutaja mabaya yake ukaishia hapo kutakuwa hakuna uchochezi wowote uliofanyika.
Unaweza kusema ubaya wa mtu na watu wakachukizwa na ubaya wake na kumzuru bila ya kuhamasisha, kwa mfano aje mtu aseme wewe mwanga katika area yako unayo ishi, nini kitatokea kwa watu walio kuzunguka?Kuna siku nilikuwa namsikiliza mwanasheria mmoja kwenye radio - TBC kuhusu uchochezi, alisema hivi kwa mfano unaweza ukasema kwamba mtu fulani amefanya kosa hili na lile, lakini utakapotoa hukumu au kushawishi watu waende kumdhuru namna fulani ndo utakuwa umechochea watu. lakini ukiishia kutaja mabaya yake ukaishia hapo kutakuwa hakuna uchochezi wowote uliofanyika.
Ni wazo jema ila nauliza tujadiliane kwa lugha ipi,Kiswahiloi,Kiingereza au kiswanglis? Na katika familia zetu pia tuanzishe mijadala ya lugha ipi ya watoto kujibizana na wazazi wao na aina ya lugha za wanandoa.