KWANZA SALAM,
Nimejiuliza bila majibu nini maana ya uchochezi? spika makinda amekataa hotuba ya kambi ya upinzini isiingie kwenye hansad kwakuwa eti imejaa uchochezi sasa nikawa najiuliza uchochezi ni kusema matukio yaliyofanywa na serikali lakini hayawafurahishi wananchi?
Hivi ukisema mulongo aliwatishia waandishi wa habari kwa kuwaambia wakiandika habari za kumkashifu kiongozi wanaweka maisha yao rehani huo ni uchochezi?
Uukisema serikali ilimuua Mwangosi ni uchochezi?
Ukusema usalama wa taifa walimteka Ulimboka huo ni uchochezi?
NAOMBA WAELEWA ZAIDI WANISAIDIE, HATATA WALE WANACCM MLIOKO HAPA JAMVINI MNISAIDIE
Nimejiuliza bila majibu nini maana ya uchochezi? spika makinda amekataa hotuba ya kambi ya upinzini isiingie kwenye hansad kwakuwa eti imejaa uchochezi sasa nikawa najiuliza uchochezi ni kusema matukio yaliyofanywa na serikali lakini hayawafurahishi wananchi?
Hivi ukisema mulongo aliwatishia waandishi wa habari kwa kuwaambia wakiandika habari za kumkashifu kiongozi wanaweka maisha yao rehani huo ni uchochezi?
Uukisema serikali ilimuua Mwangosi ni uchochezi?
Ukusema usalama wa taifa walimteka Ulimboka huo ni uchochezi?
NAOMBA WAELEWA ZAIDI WANISAIDIE, HATATA WALE WANACCM MLIOKO HAPA JAMVINI MNISAIDIE