Nini maana ya neno UCHOCHEZI?

Nini maana ya neno UCHOCHEZI?

Poa mkuu,got me lakini uchochezi una maana pana.
 
Mimi naomba nielimishwe neno; KUTIWA MBARONI neno "MBARONI"
 
Habari zenu wakubwa.
Napenda kufahamishwa maana halisi ya neno uchochezi, maana kwa sasa kila kauli au kosa unaambiwa ni uchochezi leo hii TCRA inasema ukipokea ujumbe wa uchochezi futa mara moja na utoe taarifa mahala husika. Au ndio kuminya demokrasia yetu kwa kutumia mgongo wa neno uchochezi.
 
Habari zenu wakubwa.
Napenda kufahamishwa maana halisi ya neno uchochezi, maana kwa sasa kila kauli au kosa unaambiwa ni uchochezi leo hii TCRA inasema ukipokea ujumbe wa uchochezi futa mara moja na utoe taarifa mahala husika. Au ndio kuminya demokrasia yetu kwa kutumia mgongo wa neno uchochezi.
wasituchoshe
 
Uchochezi ni kuwaambia watu kuwa mtu fulani yuko hivi wakati sivyo alivyo.
Au kumsema mtu kinyume na vile alivyo

Kuwaambia watu fulani ni tingatinga ni uchochezi maana mwanadamu siyo tingatinga kwanza ni tusi. Kuwaambia watu fulani ni jembe huo nao uchochezi

wapo watakaojitahidi kubisha, naomba waeleze maana ya neno uchochezi
 
Jamani wadau nisaidieni maana ya neno "UCHOCHEZI"

Imefika wakati imekuwa vigumu kwa watu kutoa maoni yao kwa sababu kila utakacho kisema ambacho kinapingana na serikali (mawazo yako juu ya jamb o fulani) watu wanasema unafanya uchechezi. Hivi, uchochezi ninini?

Wadau nisaidieni maana ya neno uchochezi kwa sababu hata hapa kuna watakaosema naleta uchochezi.
 
Kuzungumza ukweli..
Na kuwaumiza wahusika na kusababisha watu kukufollow
 
Back
Top Bottom