Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

Zamani kama mwaka mmoja au miwili hivi ilikuwa Inanitokea mara kwa mara baadaye hii hali ikaacha mpaka nilisahau, juzi sasa ndiyo imenitokea tena

Hii hali kama ikinitokea nikiwa sijashiriki tendo la ndoa muda mrefu labda wiki 2 au wiki 4 hivi ikinitokea huwa hainipi shida yoyote sababu najua ni hali ya kawaida

Huwa napata mshituko ikitokea siku ambayo nimeshiriki halafu itokee niote tena hapo ndiyo huwa naona siyo kitu cha kawaida

Hata nikishiriki leo halafu siku 1 au 2 baadaye nikaota nashiriki kwangu hilo siyo jambo la kawaida lazima linipe mawazo
Na katika kipindi ambacho hiyo hali iliacha ulikuwa unashiriki tendo kama kawaida tu?
 
Na katika kipindi ambacho hiyo hali iliacha ulikuwa unashiriki tendo kama kawaida tu?
Ndiyo niliendelea kushiriki kama kawaida. Nina kama miaka 20 au hata zaidi naishi na mke na kawaida haiwezi kupita siku 14 sijashiriki labda pale mke wangu akiwa anakaribia sana kupata mtoto mwezi mmoja kabla na siku 30 au 40 baada ya kujifungua

Na ikitokea nimekaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa halafu nikaota usingizini hiyo huwa hainipi shida yoyote kichwani
 
Ndio unieleweshe ni subscribe nini sasa
Succubus ni demon wa kike
Incubus ni demon wa kiume

Incubus huwatia wanawake wakiwa wamelala kwa ndoto
Succubus hufanya na wanaume

Ila wote ni kitu kile kile issue ni kujibadirisha tu

Victims ndio hupata shida
 
Kupaa zina maana gani ? Una sound kama mganga wa kienyeji
Duh! Mkuu mbona leo mkali sana au swaum imekuwa kali😂😂

Jamaa kasema ndoto huwa ni mkusanyiko wa mawazo yetu tu ya siku nzima, ndio nikauliza kuna ndoto zengine watu wanaota wanapaa, ni aina za ndoto tu sijazungumzia kuhusu maana zake.

Yani kama kuota ndoto za kufanya mapenzi basi ni kwa sababu ya kuwa unawaza sana mambo ya mapenzi, je kuota unapaa angani(hizo ndoto zipo) napo ni matokeo ya kuwa na mawazo sana ya kupaa?
 
Ndiyo niliendelea kushiriki kama kawaida. Nina kama miaka 20 au hata zaidi naishi na mke na kawaida haiwezi kupita siku 14 sijashiriki labda pale mke wangu akiwa anakaribia sana kupata mtoto mwezi mmoja kabla na siku 30 au 40 baada ya kujifungua

Na ikitokea nimekaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa halafu nikaota usingizini hiyo huwa hainipi shida yoyote kichwani
Wewe ni Victim demon humfuata mtu anaemkaribisha so angalia ni wapi ulipoacha mlango wazi mwambie mgeni wako aende kisha funga huo mlango.

Hujanielewa ipo hivi leo akija kataa kuganya nae huo mchezo hio ndio namna ya kufunga mlango, unakumbuka sababu kuna namna unakumbuka ila umemwachia mlango wazi nenda ukafunge mlango na yeye hakikisha unamtoa nje ili asiendelee kukusumbua.
 
Succubus ni demon wa kike
Incubus ni demon wa kiume

Incubus huwatia wanawake wakiwa wamelala kwa ndoto
Succubus hufanya na wanaume

Ila wote ni kitu kile kile issue ni kujibadirisha tu

Victims ndio hupata shida
Asante umeeleweka!

Victims hupata shida gani?
 
Wewe ni Victim demon humfuata mtu anaemkaribisha so angalia ni wapi ulipoacha mlango wazi mwambie mgeni wako aende kisha funga huo mlango.

Hujanielewa ipo hivi leo akija kataa kuganya nae huo mchezo hio ndio namna ya kufunga mlango, unakumbuka sababu kuna namna unakumbuka ila umemwachia mlango wazi nenda ukafunge mlango na yeye hakikisha unamtoa nje ili asiendelee kukusumbua.
Ukiwa usingizini Unawezaje kukataa? Unajikuta tu umefanya kwa furaha zote, ukishituka ndiyo unagundua kumbe ilikuwa ndoto tu
 
Sijawahi we umewahi kugongwa na demon ukafurahia?
Umeuliza Victims wanapata shida gani na mimi ni male anakuja demon wa kike, ngoja nikwambie demon wa kike anavyokuja anakua km tausi unamjua tausi sasa anageuza mkia ule ulivyochanua kwa hio unaona rangi rangi nyingi mara paapu umetegeshewa kitu unashanga chuma inaanza kufyonzwa, ni suala la haraka km una nguvu kubwa ni kufukuza ukikosea tu umekojoa demon kachukua point yumo ndani, yaan mpaka umzuie na umfukuze ndio anaenda harudi tena, halafu hilo swali usiniulize tena sigongwi ila nagonga yaan ni sawa niseme nitakugonga
 
Mleta mada inaonekana upo obsessed Sana na mapenzi/ ngono ndo maana unaota ndoto za hivyo kila wakati
 
Umeuliza Victims wanapata shida gani na mimi ni male anakuja demon wa kike, ngoja nikwambie demon wa kike anavyokuja anakua km tausi unamjua tausi sasa anageuza mkia ule ulivyochanua kwa hio unaona rangi rangi nyingi mara paapu umetegeshewa kitu unashanga chuma inaanza kufyonzwa, ni suala la haraka km una nguvu kubwa ni kufukuza ukikosea tu umekojoa demon kachukua point yumo ndani, yaan mpaka umzuie na umfukuze ndio anaenda harudi tena, halafu hilo swali usiniulize tena sigongwi ila nagonga yaan ni sawa niseme nitakugonga
Duhh yaishe mkuu! Hii mada ngumu sana! Kuwa makini usizaliane na majini..
 
Mleta mada inaonekana upo obsessed Sana na mapenzi/ ngono ndo maana unaota ndoto za hivyo kila wakati
Mkuu nimesema mara nyingi sipo bize na mapenzi na wala hii hainitokei mara kwa mara. Mara ya mwisho iliponitokea kabla hii ya juzi sikumbuki (pengine hata miezi 6 au mwaka umepita).

Sasa hapo unapataje hiyo conclusion yako?
 
Mkuu nimesema mara nyingi sipo bize na mapenzi na wala hii hainitokei mara kwa mara. Mara ya mwisho iliponitokea kabla hii ya juzi sikumbuki (pengine hata miezi 6 au mwaka umepita).

Sasa hapo unapataje hiyo conclusion yako?
Boksa yako mara ya mwisho kufua ilikua lini? Sema tu ukweli
 
Unigonge kivipi? Huna dame huko uliko? Hebu mpe tiba mleta mada achana namimi
Nitakugonga basi naona hilo jibu maana yake umesema ndio, tiba atapata ila tiba ya kwanza inabidi awe na nguvu yeye km yeye akiwa hana nguvu basi ni hivyo atabakia kua victim
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom