Village in
Member
- Mar 1, 2026
- 50
- 66
Huyu mbona alishasemaga anakuota wewe min -meWewe unaona ni kitu gani? Naona una laumu tu bila kutoa suluhisho
Huyu mbona alishasemaga anakuota wewe min -meWewe unaona ni kitu gani? Naona una laumu tu bila kutoa suluhisho
Nimeota namfira Dem mpaka nimemwaga kitandaniWakuu
Nina swali naomba msaada wa tafsiri
Inanitokea naota nafanya mapenzi na watu tofauti ninaowafahamu na nisiowafahamu
Kinachonishangaza ni kuwa ninashiriki tendo la ndoa mara kwa mara hivyo siyo kwamba nina upwiru(hali ya Kutoshiriki tendo la ndoa mara kwa mara), hapana. Hata leo usiku jana nimeshiriki tendo la ndoa cha ajabu usingizini nikaota tena nashiriki na mtu mwingine.
Hii ni nini?
Tatizo sasa unaishia kuota hutasikia unachotegemea kama kwa binadamu wa kawaida, wengine wanaamka wamechafuka tu!Kama ni hivyo si aendelee kumgonga tu. Au tumuulize tu mshikaji unajisikiaje unapofanya na huyu jini na mtu wa kawaida?. Unakuta huko kwa jini ni kutamu zaidi
🤣🤣🤣Ukimaliza utoe na solution ndugu sheikh majini🤗
Kuna mitazamo tofauti ya ndoto kama wa kisayansi, kisaikolojia na kiroho. Shida huwa inakuja mtu anapoegemea upande mmoja tu wa mtazamo wa ndoto, mfano wewe umeegemea kwenye sayansi tu lakini ujue sayansi ina misingi yake na hivyo ina mipaka yake hii ni point muhimu kuielewa hapa ni muhimu sana.Huu uzi sijapinga chochote , ila sayansi inasema ndoto ni kazi za ubongo , hisia na kumbukumbu zilizohifadhiwa zinaendelea kuchakatwa tu, mwili ukiwa katika hali ya sleeping paralysis , na mwingine akisema ni jini mahaba , hapo tunapinga ili kujua kajuaje na inakuaje vipi mpaka akafikiri hivyo
Ila mkuu kuna ndoto zengine huwa hazipo kabisa kwenye uhalisia mfano kupaa, sasa utasema huyo mtu huwa anawaza mambo ya kupaa paa?Ndoto ni mawazo yako ya siku nzima ambayo yanafanyiwa mchakato au kuchakatwa wakati umelala....
Kwa maelezo yako madogo nimegundua mambo 2.
1. Mawazo yako mengi katika akili yako wamekuwa katika mapenzi.
2. Hisia zako kwa siku ziko katika yalibya namna hiyo
Mimi sio muumini hivyo unaposema kiroho sikuelewi siamini hayo mamboKuna mitazamo tofauti ya ndoto kama wa kisayansi, kisaikolojia na kiroho. Shida huwa inakuja mtu anapoegemea upande mmoja tu wa mtazamo wa ndoto, mfano wewe umeegemea kwenye sayansi tu lakini ujue sayansi ina misingi yake na hivyo ina mipaka yake hii ni point muhimu kuielewa hapa ni muhimu sana.
Kuna wengine nao huchukulia ndoto kwa mtazamo wa kisaikolojia tu na wapo ambao kila ndoto huwa wanaona ni suala la kiroho tu.
Binafsi naelewa sayansi ina mchango wake katika suala zima la usingizi na ndoto, saikolojia pia ina nafasi yake na upande wa kiroho pia una nafasi yake.
Ndio maana unaona mimi sijatoa maelezo ya moja kwa moja kuhusu ndoto ya mleta mada kwa sababu natizama ndoto katika mitazamo ya kisaikolojia na kiroho hivyo siwezi kutoa jibu tu siwezi kujua hiyo ndoto ipo upande gani.
Suala la kuhusu jini mahaba katika ndoto ni kwamba hizo ndoto kuhusishwa na jini mahaba ni ishara tu kuwa pengine ni jini mahaba ila uhakika wa kujua hilo ni kupitia kufanya uchunguzi wa kiroho.
Hizo ndoto hukutokea mara kwa mara tu au hutokea ukitoka kufanya mapenzi?Mkuu, hivi inawezekana vipi saa nne usiku nimeshiriki tendo na mke wangu nikatosheka kabisa yaani sihitaji tena, halafu usiku huo huo uote usingizini unafanya mapenzi na mtu mwingine?
Kama ingekuwa imepita wiki au wiki 2 bila kushiriki tendo na mtu baadaye usiku nikaota nisingeona ni kitu cha ajabu, lakini the same day! Huoni kama kuna kitu siyo sawa? Na ninaishi na mke
Mkuu kwahiyo ulitaka alichoelezwa akubali tu hata kama ni tofauti na experience yake ilivyo? Yeye kasema hana mawazo ya ngono akilini mwake na ndio maana anashangazwa na kupata hizo ndoto na kama angekuwa na hayo mawazo basi asingeshangaa kuota hizo ndoto.Unaomba ushauri halafu unabishana na washauri, haya basi unatembelewa na jini mahaba na umebakiza siku chache ufe hivyo katoe sadaka kwa Mwamposa ukombolewe
Zamani kama mwaka mmoja au miwili hivi ilikuwa Inanitokea mara kwa mara baadaye hii hali ikaacha mpaka nilisahau, juzi sasa ndiyo imenitokea tenaHizo ndoto hukutokea mara kwa mara tu au hutokea ukitoka kufanya mapenzi?
nimetoa maoni yangu tu,sio sheriaMkuu kwahiyo ulitaka alichoelezwa akubali tu hata kama ni tofauti na experience yake ilivyo? Yeye kasema hana mawazo ya ngono akilini mwake na ndio maana anashangazwa na kupata hizo ndoto na kama angekuwa na hayo mawazo basi asingeshangaa kuota hizo ndoto.
Kupaa zina maana gani ? Una sound kama mganga wa kienyejiIla mkuu kuna ndoto zengine huwa hazipo kabisa kwenye uhalisia mfano kupaa, sasa utasema huyo mtu huwa anawaza mambo ya kupaa paa?
Nashukuru kwa muda wako mkuuKwanza shukuru Mungu hata unapata ndoto za unafanya mapenzi.
Wenzako huwa wanapigwa pin kisawasawa hata njozi tu hupati
Yani unakuwa na Ibiris halafu kakuziba humuoni,
Kwahyo unabaki gizani maisha yote bila kujua unasumbuliwa na Nini✍️
Kupata njozi maana yake ni kuoneshwa tatizo.....
Tizama ni kitu gani huwa kinakusumbua sana kwenye maisha yako, Yani kinakuwa na miendelezo wa kufeli, ambacho huwa unamuomba Mungu mfululizo....
Hicho kitu ndio sababu ya kuota hizo ndoto
(Maana yake chanzo cha tatizo ni huyo Ibiris
Kwa lugha fupi unaoneshwa tatizo n nn.
Kama huwa unamuomba Mungu... (Basi ni Mungu kakuonesha
Kama unaomba mizimu... Basi n mizimu umekuonesha
Kama unaomba majinn... basi ni majinn ndo wamekuonesha!!
Kiufupi Imani yoyote ya kiroho uliyokuwa nayo ambayo unaamini inakulinda ndio imekuonesha
Note: Jinn mahaba mara nyingi huwa hampi mtu njozi za uchafu anaomfanyia..... sababu akifanya hvyo itakuwa chanzo cha kutaka kumtoa
Leo ww umekuja hapa kuomba ushauri baada ya kupata njozi chafu, means usingeota usingejua kama Kuna shida sehemu... hii ndio sababu huwa hawawapi watu njozi za machafu wanayowafanyia!!
Ukiona umepata njozi maana yake umepata bila ridhaa yake, ikiwa na maana Kuna nguvu nyingine ambayo ipo upande wako ndo imekusanua
Kupaa niliambiwa ni ishara ya kuwashinda adui zako wote. Ilikuwa Inanitokea sana zamaniKupaa zina maana gani ? Una sound kama mganga wa kienyeji
Ubongo wake Succubus wala hawi hivyo, Succubus ana target zake muhimu yaan km wewe hapo Incubus anaweza akakukulaJini mahaba anaitwa, spiritual husband/wife anasumbuaga sana.. anakuletea sura mpaka za ndugu na marafiki zako!
Scubus ndio niniUbongo wake Scubus wala hawi hivyo, Scubus ana target zake muhimu yaan km wewe hapo Incubus anaweza akakukula
Km hujaelewa subscribe kwanza hii ChannelScubus ndio nini
Incubus
Najua hauamini ila nimekujuza tu kuwa kuna mitazamo tofauti kuhusu ndoto na watu wana experience zao kutoka kwenye hiyo mitazamo.Mimi sio muumini hivyo unaposema kiroho sikuelewi siamini hayo mambo