Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

Nini maana ya ndoto hii? Inaniumiza kichwa

Mkuu mimi siwazi mapenzi muda wote, labda huyo jini maana sina elimu kuhusu majini na ndiyo maana nimekuja huku nisaidiwe kupata sababu hasa ya tatizo hili
Kiukweli mtu hawezi tu kujua uhakika wa sababu za wewe kuota hizo ndoto za mapenzi kwa wewe kusema tu unaota ndoto za mapenzi, maana watu wanaweza kuota ndoto za kufanana ila zikawa na maana tofauti kwa kila mmoja inategemea kila mtu na experience yake ya maisha.
Kwahiyo ili mtu aweze kujua hizo ndoto zina maana gani hasa kwako anahitaji kujua zaidi hizo ndoto zenye zilivyo na katika mazingira gani unapatwa na hizo ndoto n.k

Lakini kama ni issue ya jini mahaba ndoto kama hizo ni moja ya ishara na huwa huambatana na athari kama changamoto kiuchumi au mahusiano.
 
Uhakika ni upi?
Nadhani haujanielewa, nachokisema ni kwamba hata kama huyo muotaji ataenda kwa mwanasaikolojia kutaka msaada kuhusu hilo suala basi mwanasaikolojia hatoweza kujua sababu ya huyo jamaa kuota hizo ndoto lazima atataka maelezo ya ziada ili ndio aweze kupata uhusiano wa hizo ndoto na maisha ya muotaji ili kujua nini maana ya muotaji kuota hizo ndoto.

Ndio maana nikasema kwamba ukiishia tu kusema unaota ndoto za mapenzi bila maelezo zaidi basi kwa haraka majibu utakayopata ndio hayo kwamba inaweza kuwa ni mawazo tu yaliyo akilini mwa muhusika ndio huleta hizo ndoto au jini mahaba, na pengine kuwa na hamu ya kufanya mapenzi ndio maana mwenyewe kawahi kusema kuwa hana ukame wa kushiriki ngono hadi ipelekee kuota hivyo.
 
Nadhani haujanielewa, nachokisema ni kwamba hata kama huyo muotaji ataenda kwa mwanasaikolojia kutaka msaada kuhusu hilo suala basi mwanasaikolojia hatoweza kujua sababu ya huyo jamaa kuota hizo ndoto lazima atataka maelezo ya ziada ili ndio aweze kupata uhusiano wa hizo ndoto na maisha ya muotaji ili kujua nini maana ya muotaji kuota hizo ndoto.

Ndio maana nikasema kwamba ukiishia tu kusema unaota ndoto za mapenzi bila maelezo zaidi basi kwa haraka majibu utakayopata ndio hayo kwamba inaweza kuwa ni mawazo tu yaliyo akilini mwa muhusika ndio huleta hizo ndoto au jini mahaba, na pengine kuwa na hamu ya kufanya mapenzi ndio maana mwenyewe kawahi kusema kuwa hana ukame wa kushiriki ngono hadi ipelekee kuota hivyo.
Sasa maelezo zaidi atayatolea wapi wakati ndoto yake ndio imeishia hapo ? Ebu fafanua kwa kina
 
Shida wanaeleza vitu au kupinga kwa misimamo tu waliyonayo na si kwa kuwa na uelewa na hivyo vitu.
Ili kuondoa hiyo shida elezea vizuri ili tusipinge na sio kulaumu wakati mnatoa maelezo yasiyoeleweka
 
Sasa maelezo zaidi atayatolea wapi wakati ndoto yake ndio imeishia hapo ? Ebu fafanua kwa kina
Hapo si kaeleza tu kijumla kwamba huwa anaota ndoto za kufanya mapenzi, hapo hajahadithia ndoto bali kaeleza kijumla tu kwamba huwa anaota ndoto za aina fulani.

Kwahiyo kwa hapo unaweza ukampa mapendekezo tu kuwa ndoto za kufanya mapenzi zinaweza kuwa na maana hizi na zile ila itabaki kazi kujua ni maana ipi hasa ndio inamuhusu yeye..
 
Ili kuondoa hiyo shida elezea vizuri ili tusipinge na sio kulaumu wakati mnatoa maelezo yasiyoeleweka
Mbona kama umenipania mkuu, chochote unachochangia wewe humu ni mchango pia kwa mleta mada na si kwamba mie najifanya ndio nipo sahihi na kupaswa kusikilizwa nachosema na si wewe, mie nachangia tu kwa kiasi cha uelewa wangu kama ufanyavyo wewe na wengine.
 
Mbona kama umenipania mkuu, chochote unachochangia wewe humu ni mchango pia kwa mleta mada na si kwamba mie najifanya ndio nipo sahihi na kupaswa kusikilizwa nachosema na si wewe, mie nachangia tu kwa kiasi cha uelewa wangu kama ufanyavyo wewe na wengine.
Sijakupania mkuu , ila kusema shida ya wanaopinga wakati mnatoa maelezo kulingana na imani zetu na wanaopinga wanaotoa maelezo kulingana na uzoefu wao ni kama nyie mnataka kufanya maelezo yenu kuwa ni sahihi , basi ni sahihi leta uthibitisho ,mnabaki kulalama
 
Sijakupania mkuu , ila kusema shida ya wanaopinga wakati mnatoa maelezo kulingana na imani zetu na wanaopinga wanaotoa maelezo kulingana na uzoefu wao ni kama nyie mnataka kufanya maelezo yenu kuwa ni sahihi , basi ni sahihi leta uthibitisho ,mnabaki kulalama
Mkuu kama mnachopinga ni kutokana na uzoefu wenu basi nahitaji sana kujua huo uzoefu wenu mkuu, binafsi napenda kujifunza hata kwa yale nisio yaamini ila shida yenu huwa mnaishia kupinga na kukosoa tu ya wenzenu hivyo tunashindwa kujifunza uzoefu wenu.

Kwahiyo uzoefu wako au uelewa wako ndoto kama hizo ni kwanini hutokea? Au unazizungumzia vp?
 
Mkuu kama mnachopinga ni kutokana na uzoefu wenu basi nahitaji sana kujua huo uzoefu wenu mkuu, binafsi napenda kujifunza hata kwa yale nisio yaamini ila shida yenu huwa mnaishia kupinga na kukosoa tu ya wenzenu hivyo tunashindwa kujifunza uzoefu wenu.

Kwahiyo uzoefu wako au uelewa wako ndoto kama hizo ni kwanini hutokea? Au unazizungumzia vp?
Huu uzi sijapinga chochote , ila sayansi inasema ndoto ni kazi za ubongo , hisia na kumbukumbu zilizohifadhiwa zinaendelea kuchakatwa tu, mwili ukiwa katika hali ya sleeping paralysis , na mwingine akisema ni jini mahaba , hapo tunapinga ili kujua kajuaje na inakuaje vipi mpaka akafikiri hivyo
 
Huna jini mahaba na si kila ndoto ya mapenzi ni hayo madude.
Jini mahaba hupenda kudhalilisha sana utapata picha unafanya na mama Ako au watu mnaoheshimiana sana.
Na ukiwa nalo ni lazima uwe na mpenzi ili akuhadae usiwaze kuwa una hicho kitu ili usipate ufumbuzi wa kulitoa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom