kuna msemo usemao
"Mchamaago hanyele huenda akwiya tena"
Msemo huu wa kiswahili unatumika tokaenzi ya mababu namababu lakini wengi wetu hatujui maana ya maneno yaliyotumika. Nawaombeni wakuu mtueleze maana ya maneno yafuataya:
Mchamaago,
Hanyele,
Akawiya.
Naomba kila neno litungiwe sentensi ili tujue vipi kulitumia.
"Mchamaago hanyele huenda akwiya tena"
Msemo huu wa kiswahili unatumika tokaenzi ya mababu namababu lakini wengi wetu hatujui maana ya maneno yaliyotumika. Nawaombeni wakuu mtueleze maana ya maneno yafuataya:
Mchamaago,
Hanyele,
Akawiya.
Naomba kila neno litungiwe sentensi ili tujue vipi kulitumia.