MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 332
theory yako ni yakusadikika, kwahiyo hata kukonyeza au kuita kwa ishara ya kidole ni freemsons
na CHADEMA JE??? ISHARA YA VIDOLE VYAO NI NN??? MSININUKUU VIBAYA NAULIZA NIJUZWE!
Wanaotumia hii alama ni washamba na malimbukeni wakubwa tu.
Si hawako makini katika maamuzi yao!kwa nini???
na CHADEMA JE??? ISHARA YA VIDOLE VYAO NI NN??? MSININUKUU VIBAYA NAULIZA NIJUZWE!
Mwisho wa yote ni MUNGU aliyeumba mbingu na nchi bila hata kuweka nguzo. Tubabaikeni ktk hili na lile lkn mwisho wa yote ni MUNGU.
Alama tulizoumbiwa na Mungu hazihesabiki.Kwa kifupi kila anayetumia V ni mjinga kama hana maelezo yenye kuridhisha.Hao free mason ndio walioumba mikono ya watu mpaka kila ishara iwe mali yao?acheni ujinga anayeweza kusema hivyo ni MUNGU TU ndio mmiliki wa kila kitu,ieleweke hivyo.
na CHADEMA JE??? ISHARA YA VIDOLE VYAO NI NN??? MSININUKUU VIBAYA NAULIZA NIJUZWE!
Hapo sasa mkuu,...yaani hii ni ajenda fulani inayoibuliwa na watu wa tabaka fulani kwenye jamii ili kuwatisha na kuwatia hofu tabaka la chini ili wawatawale kirahisi.
eeeh...mie nilikua na V-ni Alama Ya AMANI!!!!!!
Wanaotumia hii alama ni washamba na malimbukeni wakubwa tu.