Wayo
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 179
- 420
Habarini Wakuu,
Binadamu tunazaliwa katika mazingira tofauti tofauti yenye mila na desturi zake, lakini pia kuna mifumo mingi inayoongoza maisha yetu bila kujua nani mwanzilishi wa mifumo hiyo na kwa kusudi gani? Na je hii mifumo ndio kila kitu katika maisha yetu?
Wengi wetu tuliaminishwa vitu vingi tukiwa wadogo tukiwa hatuna uwezo wa kuhoji tukakubali kuishi maisha hayo hata kama hatuna furaha nayo, wachache wanaenda kinyume na mifumo iliyowekwa na jamii wanaonekana ni wasaliti.
Binafsi niliacha kwenda kanisani tangu nilipopata kipaimara sikuona sababu ya kumtukuza Mungu anaechoma watu moto, msimamo huu ulinifanya niingie kwenye vita ya watu wanaonizunguka.
Wakuu nyinyi nafikiria nini juu ya kusudi la maisha hapa duniani ni kufuata utaratibu uliowekwa na kuondoka au kuna jambo lingine ila binadamu hatulijui?
Binadamu tunazaliwa katika mazingira tofauti tofauti yenye mila na desturi zake, lakini pia kuna mifumo mingi inayoongoza maisha yetu bila kujua nani mwanzilishi wa mifumo hiyo na kwa kusudi gani? Na je hii mifumo ndio kila kitu katika maisha yetu?
Wengi wetu tuliaminishwa vitu vingi tukiwa wadogo tukiwa hatuna uwezo wa kuhoji tukakubali kuishi maisha hayo hata kama hatuna furaha nayo, wachache wanaenda kinyume na mifumo iliyowekwa na jamii wanaonekana ni wasaliti.
Binafsi niliacha kwenda kanisani tangu nilipopata kipaimara sikuona sababu ya kumtukuza Mungu anaechoma watu moto, msimamo huu ulinifanya niingie kwenye vita ya watu wanaonizunguka.
Wakuu nyinyi nafikiria nini juu ya kusudi la maisha hapa duniani ni kufuata utaratibu uliowekwa na kuondoka au kuna jambo lingine ila binadamu hatulijui?