Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
Na kirefu cha pf 3
we sio Wa kispoti kabjsaaaRice beans = RB
Rythm , Blues muziki kwenda mbele, utacheza sana ukiwekwa rumande Djs utawakuta hukohuko vua mkanda
Mkuu,umesoma UD? Mbona tulikuwa hatuonani? Am sure ningekuona ningekua nshakutongoza Umepishana na bahati.Rice beans UDSM PALE TUMEKULA SANA BOOM LIKIKATA
Police form no. three. (kama kumbukumbu zangu bado ziko sawa)Na kirefu cha pf 3
Ni kweli, wana pf nying mnoPolice form no. three. (kama kumbukumbu zangu bado ziko sawa)
So it means kuna form noPolice form no. three. (kama kumbukumbu zangu bado ziko sawa)
Yes kuna moja nliwah kuiona pf 185So it means kuna form no
1,2,3,4,5,6......
Report Book ndo kirefu. Huwa inakuwa na tukio, Mahali husika. Huwa ni kwajili ya matumizi ya kipolisi.
Kuna uzi humu umeelezea vyema kabisa.
Zile ni namba za kumbukumbu kutoka kwenye report book.(RB)Kwa hiyo mtu akipewa RB na polisi maana yake kapewa Report book (kitabu cha taarifa)??!!
HeeeZile ni namba za kumbukumbu kutoka kwenye report book.(RB)
Ambapo kuna maelezo ya kesi husika na mpelelezi wa kesi hyo.
Na ukishapatiwa RB ni nani anatakiwa kumtafuta mhalifu wako???? ni polisi au mlalamikaji maana imekua nongwa unaambiwa mtafute mhalifu wako binafsiNaomba kuuliza
Hivi RB inayotolewa na polisi kirefu chake ni nini?
Na inatakiwa iwe na nini na nini?
Pia Shahidi anatakiwa kuitwa Kituo cha polisi au mahakamani?
Ni hivyo mkuuHeee
Nikajua RB la yombo😅Rice and Beans
UDSM cafeteria 1