AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,516
Napata ukakasi na kasi ya utoaji misaada ya huyu TAJIRI, MFANYA BIASHARA NA MWANASIASA ROSTAM AZIZ
Anamwaga pesa mno. Na tunajua wazi MFANYABIASHARA huwa hapotezi pesa kizembe bila kutarajia RETURN.
Vitabu vinasema TAJIRI kuingia ufalme wa MBINGUNI ni sawa na NGAMIA kupenya kwenye tundu la sindano.
Na unaiona misaada mingi inapelekwa sehemu zisizo stahili ambazo kuwafikia walengwa ni nadra.
Ni sawa kutoa msaada wa mikate kwa wakazi wa Masaki Mwisho.
yaani kapeleka mashine ya kuspray dawa bungeni na waandishi juu. Yaani wabunge nao hawajiwezi. Mara mapesa kwa waziri Mkuu.
Alafu juzi kagawa tu-sabuni kwa wananchi.
NAJIULIZA, WHAT IS NEXT AFTER WHAT IS ROSTAM DOING NOW?
ALLAHU A'ALAM
Anamwaga pesa mno. Na tunajua wazi MFANYABIASHARA huwa hapotezi pesa kizembe bila kutarajia RETURN.
Vitabu vinasema TAJIRI kuingia ufalme wa MBINGUNI ni sawa na NGAMIA kupenya kwenye tundu la sindano.
Na unaiona misaada mingi inapelekwa sehemu zisizo stahili ambazo kuwafikia walengwa ni nadra.
Ni sawa kutoa msaada wa mikate kwa wakazi wa Masaki Mwisho.
yaani kapeleka mashine ya kuspray dawa bungeni na waandishi juu. Yaani wabunge nao hawajiwezi. Mara mapesa kwa waziri Mkuu.
Alafu juzi kagawa tu-sabuni kwa wananchi.
NAJIULIZA, WHAT IS NEXT AFTER WHAT IS ROSTAM DOING NOW?
ALLAHU A'ALAM