Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,217
- 6,349
Mwaka wa uchaguzi huu, yeye hataki hatakii kuua maalbino kama wafanyavyo wabunge wengine ila anawachezea akili watu kwa misaada yake.
Ni kweli !!Coruna hii kuna watu itawanyenyua na wengine kuwadidimiza kabisa - ni suala la muda tu!!
HahahahaKama ana pesa kutoa misaada sio dhambi. Unataka awe mbahili kama hakina Mo na wengine?
Rostam aliadhirika pale alipojiuzulu ubunge Igunga, ukafanyika uchaguzi mdogo. Yaani hali ya kule ikajionesha wazi, umaskini uliokithiri. Ni kweli kabisa ukimfuatilia vizuri Rostam, kila senti anayotoa, imepigiwa hesabu kaliNapata ukakasi na kasi ya utoaji misaada ya huyu TAJIRI, MFANYA BIASHARA NA MWANASIASA ROSTAM AZIZ
Anamwaga pesa mno. Na tunajua wazi MFANYABIASHARA huwa hapotezi pesa kizembe bila kutarajia RETURN.
Vitabu vinasema TAJIRI kuingia ufalme wa MBINGUNI ni sawa na NGAMIA kupenya kwenye tundu la sindano.
Na unaiona misaada mingi inapelekwa sehemu zisizo stahili ambazo kuwafikia walengwa ni nadra.
Ni sawa kutoa msaada wa mikate kwa wakazi wa Masaki Mwisho.
yaani kapeleka mashine ya kuspray dawa bungeni na waandishi juu. Yaani wabunge nao hawajiwezi. Mara mapesa kwa waziri Mkuu.
Alafu juzi kagawa tu-sabuni kwa wananchi.
NAJIULIZA, WHAT IS NEXT AFTER WHAT IS ROSTAM DOING NOW?
ALLAHU A'ALAM
Siyo laisi ki hivyo.Kama ana pesa kutoa misaada sio dhambi. Unataka awe mbahili kama hakina Mo na wengine?
Sasa kama anatoa misaada hilo ndio cha msingi kuhusu hicho kilichona yake nadhani ni makalio na hiyo n kwa kila mtu nyuma yako kuna hivyo vituNapata ukakasi na kasi ya utoaji misaada ya huyu TAJIRI, MFANYA BIASHARA NA MWANASIASA ROSTAM AZIZ
Anamwaga pesa mno. Na tunajua wazi MFANYABIASHARA huwa hapotezi pesa kizembe bila kutarajia RETURN.
Vitabu vinasema TAJIRI kuingia ufalme wa MBINGUNI ni sawa na NGAMIA kupenya kwenye tundu la sindano.
Na unaiona misaada mingi inapelekwa sehemu zisizo stahili ambazo kuwafikia walengwa ni nadra.
Ni sawa kutoa msaada wa mikate kwa wakazi wa Masaki Mwisho.
yaani kapeleka mashine ya kuspray dawa bungeni na waandishi juu. Yaani wabunge nao hawajiwezi. Mara mapesa kwa waziri Mkuu.
Alafu juzi kagawa tu-sabuni kwa wananchi.
NAJIULIZA, WHAT IS NEXT AFTER WHAT IS ROSTAM DOING NOW?
ALLAHU A'ALAM
Ujamaa umefifisha sana akili zenu watanzania. Yaani mtu kuwa tajiri mnaona kama laana vile na Ndo mana wengi wetu maisha yetu ni ya umasikini wa kutupwa hadi kwenye janga la kidunia Corona serikali inahofia kuweka Total lockdown.
Dunia nzima matajiri wanajitolea kusaidia wananchi wao na serikali zao na huko hakuna hata nongwa. Hapa Rostam anajitolea badala mumshukuru ila still mnaendekeza roho zenu za chuki na uchawi.
Anataka kugombea kule juuuu ya edoNapata ukakasi na kasi ya utoaji misaada ya huyu TAJIRI, MFANYA BIASHARA NA MWANASIASA ROSTAM AZIZ
Anamwaga pesa mno. Na tunajua wazi MFANYABIASHARA huwa hapotezi pesa kizembe bila kutarajia RETURN.
Vitabu vinasema TAJIRI kuingia ufalme wa MBINGUNI ni sawa na NGAMIA kupenya kwenye tundu la sindano.
Na unaiona misaada mingi inapelekwa sehemu zisizo stahili ambazo kuwafikia walengwa ni nadra.
Ni sawa kutoa msaada wa mikate kwa wakazi wa Masaki Mwisho.
yaani kapeleka mashine ya kuspray dawa bungeni na waandishi juu. Yaani wabunge nao hawajiwezi. Mara mapesa kwa waziri Mkuu.
Alafu juzi kagawa tu-sabuni kwa wananchi.
NAJIULIZA, WHAT IS NEXT AFTER WHAT IS ROSTAM DOING NOW?
ALLAHU A'ALAM
Huyu kiboko, wakati dunia ilikuwa na woga kuzungumza na Mkulu kuhusu ndugu zetu waliodakwa uhujumu/utakatishaji pesa, Yeye alitinga Magogoni akaibuka na dogo, wakati kina Kigwangwala sauti zimewakauka waki paza sauti za mayowe dogo akanyee debe. Ukiwa na mapesa na maarifa , utafanikiwa karibu kila kitu utakacho kitaka.Jamaa ni extra genius