Sio utamaduni wa chombo cha utangazaji cha Chanel Ten kutangaza habari za vyama vya upinzani nchini.
Tangu wiki lililopita wamekuwa wakitangaza taarifa za Chadema wakidai wao ni wanachama wa chadema bile kujitaja wadhifa wao kichama.
Pia najiuliza juhudi ya channel Ten kuwa mstari wa mbele kuuhabarisha umma kwa kipindi hiki ambacho chadema wapo na agenda ya KATIBA MPYA.
BAVICHA TAIFA jitokezeni kutoa mwongozo wakupinga harakati za katiba mpya kuliko kila mwanachama kuwa mtazamo wake kwa kujificha kwa mavazi ya chadema huku ujumbe wao mdimoni nitofauti na vazi.
Tangu wiki lililopita wamekuwa wakitangaza taarifa za Chadema wakidai wao ni wanachama wa chadema bile kujitaja wadhifa wao kichama.
Pia najiuliza juhudi ya channel Ten kuwa mstari wa mbele kuuhabarisha umma kwa kipindi hiki ambacho chadema wapo na agenda ya KATIBA MPYA.
BAVICHA TAIFA jitokezeni kutoa mwongozo wakupinga harakati za katiba mpya kuliko kila mwanachama kuwa mtazamo wake kwa kujificha kwa mavazi ya chadema huku ujumbe wao mdimoni nitofauti na vazi.