Youth Worker Tanzania
Member
- Nov 2, 2020
- 68
- 90
Wakuu habari,
Nimekuwa najiuliza,Nini kinawakwamisha baadhi mafundi kushindwa kuwa wawazi kwa wateja?
Hali hii utokea pale fundi aidha wa ujenzi, viatu au hata nguo kushindwa kuwa muwazi kwa mteja,hasa juu ya lini kazi yake itakamilika.
Japo ifahamike si wote wenye tabia hiyo,Lakini wengi wa mafundi wekuwa si wakweli wa kutimiza ahadi kwa wakati.
Sasa mafundi,Kwani Kuna ubaya wowote kumuambia mteja wako kuwa Nimebanana na kazi , nimepokea nitaifanya kwa muda huu na mfano wake?Ili kuepusha usumbufu usio na lazima?
Youth Worker
Hardness,Teaches
Nimekuwa najiuliza,Nini kinawakwamisha baadhi mafundi kushindwa kuwa wawazi kwa wateja?
Hali hii utokea pale fundi aidha wa ujenzi, viatu au hata nguo kushindwa kuwa muwazi kwa mteja,hasa juu ya lini kazi yake itakamilika.
Japo ifahamike si wote wenye tabia hiyo,Lakini wengi wa mafundi wekuwa si wakweli wa kutimiza ahadi kwa wakati.
Sasa mafundi,Kwani Kuna ubaya wowote kumuambia mteja wako kuwa Nimebanana na kazi , nimepokea nitaifanya kwa muda huu na mfano wake?Ili kuepusha usumbufu usio na lazima?
Youth Worker
Hardness,Teaches