Nini kinasababisha uchovu kila ninapotaka kujisomea?

Kapepo

JF-Expert Member
Aug 14, 2015
1,063
1,188
Habari wakuu,

Ipo hivi tangu nipo nasoma shule Sekondary hadi namaliza chuo hadi ivi sasa nipo mtaani ninapotaka kusoma kwa ajili ya maandalizi either ya interview au issue nyingine yenye kuleta maendeleo najikuta naingiwa na uchovu wa kutisha hadi naamua kulala kupunguza uchovu huu lakini sasa sijui nini chanzo hadi hii leo.

Swali je nini kinasababisha kupatwa na uchovu sana pindi tu napotaka kujisomea?
 
shukrani sana kwa ushauri wako ntaufanyia kazi , lkn huu uvivu upo tu linapokuja suala la kujisomea ila kucheki muvi au kuchat naweza kesha hadi asubuhi kwakweli
 
shukrani sana kwa ushauri wako ntaufanyia kazi , lkn huu uvivu upo tu linapokuja suala la kujisomea ila kucheki muvi au kuchat naweza kesha hadi asubuhi kwakweli
Ndio maana unatakiwa kufanya mambo yako ya muhimu kwa umakini sana, usifanye tu ilimradi. Movie na kuchat ni starehe that's why huchoki. Ila kusoma inahitaji concentration ndio maana akili inachoka mapema na wewe unaitii unalala.

Unaweza kubadili mazingira usisomee chumbani wala sehem ambayo umeizoea. Ukijijua kesho una interview nenda hata sehem ya mbali na home ukajisomee huko na uwe unaandika summary unavyosoma ili mwili uwe active kuliko kutulia tu.
 
... Kwa hoja yako umeji direct upewe majibu yanayohusu ulozi na uchawi si ndivyo? Jaribu kutumia chumvi ya mawe, kwa kuogea. Kamwe usipeleke jina Wala fedha yako kwenye madhabau ya kichawi huko ndo utaaharibu jumla.

Hata hizo interview zenyewe utakuwa huzipendi.
 
Ndio maana unatakiwa kufanya mambo yako ya muhimu kwa umakini sana, usifanye tu ilimradi.
Movie na kuchat ni starehe that's why huchoki. Ila kusoma inahitaji concentration ndio maana akili inachoka mapema na wewe unaitii unalala...
ntaufanyia kazi ushauri wako mkuu assante sana
 
Habari wakuu,

Ipo hivi tangu nipo nasoma shule Sekondary hadi namaliza chuo hadi ivi sasa nipo mtaani ninapotaka kusoma kwa ajili ya maandalizi either ya interview au issue nyingine yenye kuleta maendeleo najikuta naingiwa na uchovu wa kutisha hadi naamua kulala kupunguza uchovu huu lakini sasa sijui nini chanzo hadi hii leo.

Swali je nini kinasababisha kupatwa na uchovu sana pindi tu napotaka kujisomea?
Jitahidi kupata muda mrefu wa kulala (not less than 8 hrs.)

Jitahidi kupenda masomo yako.
 
Back
Top Bottom