Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,077
jf ina raha zake (ndo mana tunaendelea kuwemo) lakini pia karaha zipo.Mdau hebu taja yanayokukera humu.
Binafsi nakerwa na yafuatayo:
1.Utakatifu: Kuna watu humu wanajitia wao ni watakatifu kuliko ma Sheikh wakuu na Maaskofu.Kwanini utake watu waishi kwa standards zako? live and let live bana.Yaliyobaki we niache na Mola wangu.
2.Ujuaji: Mtu anajikunja anarusha ka thread kake (tena maskini kalipia alfu internet cafe),we una comment '****' haki kweli? si umpotezee tu kuliko kumshushua?
3.Font: jamani font nyingine tunatumia zinaumiza macho hata kama umeandika mi pweint.
4.Hatimkato: Sa ingine mtu anaandika mambo ya msingi lakini lo lugha za sms...m2 huyu 2ro bcoz nampenda ur...jamani ndo nini sasa?
5.PM: Kuna watu humu (wanajifahamu) wame block kupokea PM,juu ya nini? saa ingine tuna maneno matamu na ya siri ya kukuPM,wewe flan wewe (name withheld) umeblock PM,unblock please nikunong'oneze kitu.
.........na wewe nini kinakukera.....?????
Binafsi nakerwa na yafuatayo:
1.Utakatifu: Kuna watu humu wanajitia wao ni watakatifu kuliko ma Sheikh wakuu na Maaskofu.Kwanini utake watu waishi kwa standards zako? live and let live bana.Yaliyobaki we niache na Mola wangu.
2.Ujuaji: Mtu anajikunja anarusha ka thread kake (tena maskini kalipia alfu internet cafe),we una comment '****' haki kweli? si umpotezee tu kuliko kumshushua?
3.Font: jamani font nyingine tunatumia zinaumiza macho hata kama umeandika mi pweint.
4.Hatimkato: Sa ingine mtu anaandika mambo ya msingi lakini lo lugha za sms...m2 huyu 2ro bcoz nampenda ur...jamani ndo nini sasa?
5.PM: Kuna watu humu (wanajifahamu) wame block kupokea PM,juu ya nini? saa ingine tuna maneno matamu na ya siri ya kukuPM,wewe flan wewe (name withheld) umeblock PM,unblock please nikunong'oneze kitu.
.........na wewe nini kinakukera.....?????