Nini kinaendelea Malawi?

Nini kinaendelea Malawi?

Labda nikuulize wewe mbona mataifa yanayoiunga mkono Palestina ni mengi kuliko yanayounga mkono Israel

Huoni kama kuna hujuma zinafanyika ili kumsaidia Muisrael?

Sidhani kama kuna data rasmi za mataifa yanayoiunga mkono nchi fulani katika huo mgogoro, hata hivyo unadhani kwa nini hawajapeleka kesi mahakamani?
 
Kwa hiyo leo hii mahakama ikisema Kagera ni ya Uganda wewe uko radhi kuheshimu hukumu hiyo?
By the way, kama unadhani vita is a no go zone, jeshi la nini sasa? We will do everything kuavoid vita, lakini that option can not be removed from the table.

Yeah! Sioni sababu ya kutowapa kama Tanzania itashindwa kuihakikishia mahakama kwamba Kagera ni yetu

Jeshi la Ulinzi litatusaidia kutulinda ikiwa tunashambuliwa na maadui.

UN, AU n.k havijaundwa kama mapambo. Tujaribu huko tukishindwa ndo labda tujihami kwa vita. Kwamba we tried to explore all avenues
 
Kwa hiyo leo hii mahakama ikisema Kagera ni ya Uganda wewe uko radhi kuheshimu hukumu hiyo?
By the way, kama unadhani vita is a no go zone, jeshi la nini sasa? We will do everything kuavoid vita, lakini that option can not be removed from the table.

Yeah! Sioni sababu ya kutowapa kama Tanzania itashindwa kuihakikishia mahakama kwamba Kagera ni yetu

Jeshi la Ulinzi litatusaidia kutulinda ikiwa tunashambuliwa na maadui.

UN, AU n.k havijaundwa kama mapambo. Tujaribu huko tukishindwa ndo labda tujihami kwa vita. Kwamba we tried to explore all avenues

Mkuu,
I am afraid to tell kwamba umepotea na huijui hii dunia vizuri.
Ingekuwa UN ni kimbilio la kweli, leo hii kusingekuwa na Guantanamo, Iraq ingetawaliwa kama watu wake wanavyotaka, Libya ingekuwa governable, George Bush angekuwa brought to justice, Israel and Palestine wangepata ufumbuzi, Burma ingekuwa kwenye front pages, Dalai Lama asingekuwa activist, the genocide in Rwanda wouldnt even be imaginable. Endelea kusubiri UN na mahakama ya kimataifa ikupe haki yako na kukulindia mipaka yako, sisi watanzania tutalinda mipaka yetu wenyewe!!!
 
Mkuu,
I am afraid to tell kwamba umepotea na huijui hii dunia vizuri.
Ingekuwa UN ni kimbilio la kweli, leo hii kusingekuwa na Guantanamo, Iraq ingetawaliwa kama watu wake wanavyotaka, Libya ingekuwa governable, George Bush angekuwa brought to justice, Israel and Palestine wangepata ufumbuzi, Burma ingekuwa kwenye front pages, Dalai Lama asingekuwa activist, the genocide in Rwanda wouldnt even be imaginable. Endelea kusubiri UN na mahakama ya kimataifa ikupe haki yako na kukulindia mipaka yako, sisi watanzania tutalinda mipaka yetu wenyewe!!!

Nilitarajia jibu hili. Ila kuna sehemu ya jibu langu hukuzingatia. Nimesema baada ya kumaliza nyanja zote na bado ikawa hatujaridhika ndo tunaweza kujihami/kuzuia uvamizi kwa vita

Nisingependa tuendelee kujadili all day.

Nachotaka wewe kujua ni hiki. Katika nchi ambayo kila siku tunasikia madudu ya viongozi wetu, ni vigumu kuamini hao hao viongozi inaosemekana wanauza kila kitu kwa kasi ya ajabu watatusimamia kwenye hilo.

Kwa mimi naona tunahitaji arbitrator maana serikali ya CCM ni mabingwa wa kuuza rasilimali zetu
 
Ujumbe wa tanzania umetumia silaha ndogo kabisa kwenye majadiliano, sababu ni kuwa hata wangetoa sababu bab kubwa bado yale yangesomeka ni majadiliano ambayo si lazima kukubaliana nayo. Kumbuka JB alitamka bayana ziwa ni lao 100% ulitarajia timu yake ikapingane na magogoni ya malawi, naamini watatukoma kwa nondo za uhakika kortin, Watajuta!!!
 
Back
Top Bottom