Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Mazungumzo yamekwisha kwa bila bila
Waziri wa mambo ya nje Malawi apendekeza suala lipelekwe International Court of Justice
Mambe ashauri watoe fursa nyingine ya mazungumzo
Watakutana tena Septemba 10 hadi 14 Dar es Salaam
Katibu mkuu Wizara ya Mambo Ya Nje Malawi asema baraza la mawaziri litakutana kujadili uwezekano wa kusimamisha utafiti huo wa mafuta kama ambavyo Tanzania imependekeza ili kutafuta suluhisho kwanza. Hata hivyo Malawi wanaona kwa kufanya hivyo watakuwa wamekiuka masharti ya mkataba wao na kampuni inayoendesha utafiti
Waziri wa mambo ya nje Malawi apendekeza suala lipelekwe International Court of Justice
Mambe ashauri watoe fursa nyingine ya mazungumzo
Watakutana tena Septemba 10 hadi 14 Dar es Salaam
Katibu mkuu Wizara ya Mambo Ya Nje Malawi asema baraza la mawaziri litakutana kujadili uwezekano wa kusimamisha utafiti huo wa mafuta kama ambavyo Tanzania imependekeza ili kutafuta suluhisho kwanza. Hata hivyo Malawi wanaona kwa kufanya hivyo watakuwa wamekiuka masharti ya mkataba wao na kampuni inayoendesha utafiti