Ni lazima yawe magumu!... Tulikuwa tunamiliki sehemu ya ziwa hilo hata kabla ya makubaliano ya mwaka 1890 kati ya mjerumani na mwingereza. Kando ya ziwa kulikuwa na wanyasa upande wa malawi na wamanda, wanyakyusa, wakisi, n.k. upande wa Tanzania - kando ya ziwa. Makubaliano ya wageni yananyang'anya haki za wenyeji!!!!!!............. NINAWATAKIA KILA LA KHERI WATANZANIA WANAOSHIRIKI VIKAO HIVI WATETEE HAKI YA WATANZANIA!.. ...Inaelekea matokeo siyo mazuri, maana siku ya kwanza mbwembwe zilikuwa nyingi. Baada ya hapo media za Tanzania na Malawi ziko kimya, walioenda kujadili nao wako kimya! Hata balozi wetu aliyenza kwa majigambo sasa yuko kimya!!!