Mie napata hisia kuwa huu mpango ni wa muda mrefu hasa baada ya ile ramani kuonyesha hilo ziwa liko Malawi.Then hizi chokochoko zilipoanza,huyu mama alikubali haraka sana wazo la mashoga.kisha mama Clinton kapay visit huko,saa hizi Blair.Pengine ni mapema sana kuliongelea hili ngoja tusubiri.Lakini nina wazo moja.Kuna yule mzee aliandika vitabu vya Jiographia na alitengeneza ATLAS, anaweza akatusaidia.Kwa watu walo karibu naye wanaweza kutusaidia kwa hilo.Anaitwa Mzee Mbando.anaweza naye akatupa mchango wake,wakati wa kuchora ile ramani ya Tz,alielekezwa mipaka ni ipi.Ni wazo langu tu.