Nini kinaendelea Malawi?

Nini kinaendelea Malawi?

@ Cheichei2010, pengine hatutendi haki kwa wengine na tunaharibu mjadala kwa kuleta msisitizo katika mambo ya uongo kwasababu tu tunamatatizo na huyu mama. Kwa jinsi ninavyoelewa mimi na nikiwa mmoja kati ya watanzania wenye interest na ziwa Nyasa, ishu ya ushoga hapa siyo mahali pake. Isitoshe, huyu mama hajawahi kuhalalisha ushoga kama ambavyo sisi tungependa kuwaaminisha baadhi ya watanzania ambao hawana uwezo wakujitafutia habari wenyewe. Mapak sasa alichokifanya huyu mama ni ku-repeal sheria kandamizi ya vyombo vya habari na kumuondolea waziri wa habari mamlaka yakufungia gazeti kama ilivyo hapa kwetu hivi sasa. Sheria hiyo kandamizi ilitungwa na aliyemtangulia. Ameweza pia ku-repeal sheria kadha kandamizi kwa demokrasia zilizotungwa wakati wa utawala wa aliyemtangulia.

Kuhusu Ushoga, tafuta popote pale na utakachopata tu ni kuwa aliwahi kusema anafikiria ku-repeal sheria ya 'Indecency and Unnatural acts' ambayo ingeweza kuhalalisha vitendo vya ushoga lakini akawa makini kwa kusema hataweza kufanya hivyo mpaka apate kibali cha wananchi wake ambao wote kwapamoja wamekataa. Hivi sasa ameruhusu mjadala mpana kuhusu swala hili ambapo hata mawaziri wake wanazungumza hadharani kuwa hawataki. Naamini hawezi kufanya kitu kama hicho kwani akifanya hivyo atakuwa amejisafishia njia ya kuutema urais mwaka 2014. Nimeona nitowe clarification kwani ni wengi tulioingia katika mkumbo wakuamini uongo huu kuwa jirani zetu wamalawi wamehalalisha vitendo vya ushoga na hivyo kuhatarisha maisha ya vijana wetu, haswa sisi tunaozunguka Ziwa Nyasa.
 
Niliposoma kuwa kuna waandishi wamekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya tresspass kwa kutaka kuripoti mazungumzo ya mpaka kati ya nchi yetu na Malawi nikapata picha kuwa kunaseriousness katika hili suala.

SERIOUSNESS: Malawi kwenye mkutano huo ina wawakilishi 40 miongoni mwa hao kuna makamanda wa jeshi, polisi na usalama wa taifa

Kwa upande wetu sisi Watanzania tuna 24. Hatujapeleka hata mtu mmoja wa usalama. Na kiongozi wa juu kabisa kiserikali wa wawakilishi wetu ni balozi wetu nchini Malawi.

MAJADILIANO ILIPANGWA YAISHIE JUMATANO. HATA HIVYO HAWAKUPATA MUAFAKA. Ndo wakaendelea hadi Alhamisi. Inasemekana Alhamisi pande hizo mbili zilitumia mwenendo tofauti na wa awali, hapakuwa na mapumziko ya chai, Wamalawi walikusanyika kivyao na Watanzania kivyao

Pia baada hii taarifa ya kinachojiri hapo mkutanoni kuvuja, waandishi habari wawili walikamatwa na polisi

My take: Tuombe Mungu shetani rushwa ashindwe ukizingatia kila siku tunasikia madudu mapya ya viongozi wetu vinginevyo mpaka Alhamisi matumaini yalikuwepo
 
Tony blair ndiye aliyeshawishi tuuziwe rada ili kulinda ajira za watu mia mbili ambapo alipingwa hata na mawaziri toka chama chake,ndiye aliyelazimishwa uk kuingia kwenye vita vya irak wenzake walikataa akapata sapoti ya conservative.siyo mtu mzuri siku zote chama cha labour kimekuwa na mahusiano mazuri na nchi za kiafrika lakini chini ya uongozi wake imekuwa kinyume na hata mgogoro wa zimbabwe ulipamba moto wakati wake baada ya kukataa kutambua makubaliano yaliyofikiwa na serikali zilizopita juu ya mgogoro wa ardhi.anapenda kuwashirikisha marais vibaraka kwenye foundation yake kwa hiyo lazima tuiangalie ziara yake kwa jicho la tatu.
 
Tony blair ndiye aliyeshawishi tuuziwe rada ili kulinda ajira za watu mia mbili ambapo alipingwa hata na mawaziri toka chama chake,ndiye aliyelazimishwa uk kuingia kwenye vita vya irak wenzake walikataa akapata sapoti ya conservative.siyo mtu mzuri siku zote chama cha labour kimekuwa na mahusiano mazuri na nchi za kiafrika lakini chini ya uongozi wake imekuwa kinyume na hata mgogoro wa zimbabwe ulipamba moto wakati wake baada ya kukataa kutambua makubaliano yaliyofikiwa na serikali zilizopita juu ya mgogoro wa ardhi.anapenda kuwashirikisha marais vibaraka kwenye foundation yake kwa hiyo lazima tuiangalie ziara yake kwa jicho la tatu.
Hawa Wamarekani na Waingereza wanaenda kwenye viongozi dhaifu.

Nionavyo mimi hizi nchi za Magharibi ndizo zinaanzisha agenda halafu hao viongozi dhaifu kazi yao ni kusimamia tu.

Wamarekani na Waingereza ndo wanaohujumu hata uchaguzi ili vibaraka wao waendelee kuwa madarakani

Nimesoma ile mada ya Symbion Intelligence watupu hapa JF, inaonekana CIA wameithibiti ikulu. Nimelinganisha na status update ya rafiki yangu Mmalawi nimeona hawa Wamarekani na Waingereza ni hatari sana. Na hata kuua maadui kwa sumu ni mambo ya Wamarekani hayo

Thursday at 10:18am via BlackBerry
Smartphones App ·
"The Americans are here in Malawi. I have been
challenged by an American diplomat that as long as JB
plays ball, she will not lose an election. And they have
placed an american PR Guru at the state house who
will spin JBs profile to the world. The Brits are livid but
are no match to American imperialism. Malawi is once
again screwed."
 
Original Poster,

Kama wakubwa wa dunia hii wanatembelea Malawi wewe ndiyo labda ufafanue inakuhusu nini hadi ulete thread kama hii.
Kwani Malawi imeanza kutebelewa leo?

OK, kama inaleta alert, wewe tatizo lako ni nini hata kama dunia nzima inawatembelea na hawakutembelei wewe?

Au una kinyongo cha Rais wako kukata mbuga dunia nzima na ukadhani relfection kwako ukadhani lazima state visiting nazo ziwe nyingi kuliko Malawi? Fafanua na jipange vizuri.

Wewe ndiye utuambie ni nini attention uliyoweka kuhusiana na Malawi wakati sisi wengine tunaona ni jambo la kawaida.

tony ndiye aliyetuuzia 'rada' kimtindo, au sio bwana eeh! sasa anaenda kumwambia 'sister' akubaliane na maamuzi ambayo mpaka sasa "WAMALAWI WAMESHAUMIA" kuwa wakifanya makosa kwenye maamuzi, TZ inaweza kuikolonize malawi, ninamaana malawi itachapwa, kiongozi wa nchi atafurushwa blatrye, na TZ itachimba mafuta na gesi ziwani kufidia vita, by the time wanyasa watapokea oder toka dodoma, kimsingi wanaenda kupewa plan "B" ya budget yao.
Blair ana ujumbe mzito toka kwa muwekezaji wa symbion power.
Nikupateje, maamuzi yakitoka unitafute ikiwa yatakuwa tofauti na mtizamo huo hapo juu.

Litaamdaliwa dawati la mazungumzo kanakwamba tuyachimbe mafuta na gesi kwa pamoko kwa faida ya prince harry.
OVER.
 
Last edited by a moderator:
Nimekupata Nikupateje. Kusema kweli hakutumia busara na hekima yakibalozi kwani yeye alipaswa kuwa Mwanadiplomasia. Ni bahati mbaya kuwa amekuwa wa kwanza kuvujisha mazungumzo ambayo kimsingi yanapaswa kuwa siri. Ni bahati mbaya zaidi kuwa hii inawapa kiburi wamalawi kuwa sisi watanzania hatuna busara kwani balozi wa nchi huwakilisha sura, tabia na utu wa watu wa nchi yake ktk nchi yakigeni.
 
tony ndiye aliyetuuzia 'rada' kimtindo, au sio mbwana eeh! sasa anaenda kumwambia 'sister' akubaliane na maamuzi ambayo mpaka sasa "WAMALAWI WAMESHAUMIA" kuwa wakifanya makosa kwenye maamuzi, TZ inaweza kuikolonize malawi, ninamaana malawi itachapwa, kiongozi wa nchi atafurushwa blatrye, na TZ itachimba mafuta na gesi ziwani kufidia vita, by the time wanyasa watapokea oder toka dodoma, kimsingi wanaenda kupewa plan "B" ya budget yao.
Blair ana ujumbe mzito toka kwa muwekezaji wa symbion power.
Nikupateje, maamuzi yakitoka unitafute ikiwa yatakuwa tofauti na mtizamo huo hapo juu.

Litaandaliwa dawati la mazungumzo kana kwamba tuyachimbe mafuta na gesi kwa pamoko kwa faida ya prince harry.
OVER.

Kama utatoka uamuzi wa kuchimba mafuta kwa pamoja kwenye Lake Malawi basi Tanzania ndiyo itakuwa imepata aibu. Kwa sababu aliyepiga marufuku yasichimbwe kwa sasa ni Tanzania wala si Malawi.

Wanachoeleza Malawi ni kwamba ziwa lote liko kwao, lakini hawajawahi kukataza shughuli ya uchumi isifanywe na Tanzania humo tangu enzi za Kamuzu Banda.
 
Kama utatoka uamuzi wa kuchimba mafuta kwa pamoja kwenye Lake Malawi basi Tanzania ndiyo itakuwa imepata aibu. Kwa sababu aliyepiga marufuku yasichimbwe kwa sasa ni Tanzania wala si Malawi.

Wanachoeleza Malawi ni kwamba ziwa lote liko kwao, lakini hawajawahi kukataza shughuli ya uchumi isifanywe na Tanzania humo tangu enzi za Kamuzu Banda.

Sidhani kama wakati Tanzania inazuia utafiti wa mafuta ilimaanisha mafuta hayo hayatachimbwa kamwe

Nadhani walifanya vile ili kwanza mipaka ithibitishwe.

Hata hivyo kama tutapata haki ya umiliki wa hilo ziwa kwa mfano, 50/50 ningependa bunge ndo lijadili kama mafuta yatachimbwa au vitu. Je wananchi wanaoishi pembezoni mwa ziwa watafaidika vipi hasa kama uchimbaji wa mafuta utaathiri shughuli za uvuvi
 
Kama utatoka uamuzi wa kuchimba mafuta kwa pamoja kwenye Lake Malawi basi tanzania ndiyo itakuwa imepata aibu. Kwa sababu aliyepiga marufuku yasichimbwe kwa sasa ni Tanzania wala si Malawi.

Wanachoeleza Malawi ni kwamba ziwa lote liko lakini hawajawahi kukataza shughuli ya uchumi isifanywe na Tanzania humo tangu enzi za Kamuzu Banda.

ushahidi uliuweka mwenyewe humu kuwa kuna visiwa viwili ambavyo kijiografia vipo karibu zaidi na tz kwa maana ya kati ya ziwa, kuliko ilivyo nyasa/malawi, nasi hatukuwahi kudai hivyo visiwa kwa msingi wa "mpaka upo kati ya ziwa"

Kwa kuwa "sister" aliitangazia dunia kuwa ziwa lote ni la wamalawi, itakuwa imempata aibu ya kutosha, mkuu Nikupateje, hilo dawati la stori litakuwa ni jaribio ambalo nalo tutalipiga chini, wakipata mafuta kwenye kipande chao cha maji iwe heri kwao, nasi tunawapa chevron texco watutolee crude oil (first class) kwenye eneo letu. Wera weraaaa!

kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kuwa hatukuwahi kukataza eneo la nchi ya watu lisitumiwe na wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
ushahidi uliuweka mwenyewe humu kuwa kuna visiwa viwili ambavyo kijiografia vipo karibu zaidi na tz kwa maana ya kati ya ziwa, kuliko ilivyo nyasa/malawi, nasi hatukuwahi kudai hivyo visiwa kwa msingi wa "mpaka upo kati ya ziwa"

Kwa kuwa "sister" aliitangazia dunia kuwa ziwa lote ni la wamalawi, itakuwa imempata aibu ya kutosha, mkuu Nikupateje, hilo dawati la stori litakuwa ni jaribio ambalo nalo tutalipiga chini, wakipata mafuta kwenye kipande chao cha maji iwe heri kwao, nasi tunawapa chevron texco watutolee crude oil (first class) kwenye eneo letu. Wera weraaaa!

kwa kuweka kumbukumbu sawa ni kuwa hatukuwahi kukataza eneo la nchi ya watu lisitumiwe na wenyewe!

Rekebisha kauli yako. Unaposema Joyce Banda aliitangazia dunia kwamba ziwa lot eliko kwao hii siyo habari kwani hakuna asiyejua tamko la Malawi kabla hata haijapata uhuru. Hawajawahi kubadilibadili kauli kama wenzao.

Kila kisiwa kilichomo kwenye ziwa lile ni cha Malawi bila kujali kiko karibu na Malawi, Tanzania au Mozambique.

Sasa kama mafuta yapo kwenye hivyo visiwa ungezuiaje wakati unakubali kuwa ni vyao. Hoja yangu ya visiwa ilikuwa ni kwamba wewe mwenyewe hujawahi kuvidai na shughuli za mle visiwani hazijawahi kuwa zako.

Leo unakataza mtu asifanye shughuli yake kwa vigezo gani?

Sasa, kikao kinakiwsiha leo kule Mzuzu, wala usiwe na papara. Kufikia kesho jioni au Jumatatu asubuhi tutajua kilichojiri. Na wale wenzako ambao huwa hawapendi kujisumbua ndipo post zao zitakapofurika wakiwaita wajume wa Tanzania kuwa ni wasaliti.
 
Rekebisha kauli yako. Unaposema Joyce Banda aliitangazia dunia kwamba ziwa lot eliko kwao hii siyo habari kwani hakuna asiyejua tamko la Malawi kabla hata haijapata uhuru. Hawajawahi kubadilibadili kauli kama wenzao.

Kila kisiwa kilichomo kwenye ziwa lile ni cha Malawi bila kujali kiko karibu na Malawi, Tanzania au Mozambique.

Sasa kama mafuta yapo kwenye hivyo visiwa ungezuiaje wakati unakubali kuwa ni vyao. Hoja yangu ya visiwa ilikuwa ni kwamba wewe mwenyewe hujawahi kuvidai na shughuli za mle visiwani hazijawahi kuwa zako.

Leo unakataza mtu asifanye shughuli yake kwa vigezo gani?

Sasa, kikao kinakiwsiha leo kule Mzuzu, wala usiwe na papara. Kufikia kesho jioni au Jumatatu asubuhi tutajua kilichojiri. Na wale wenzako ambao huwa hawapendi kujisumbua ndipo post zao zitakapofurika wakiwaita wajume wa Tanzania kuwa ni wasaliti.

Mkuu si nimeshakuambia kuwa wanyasa wameshaumia!!!
Kwani mstari huo hukuusoma, tony anaenda kuwapooza, msingi wa mazungumzo yake na JB ni kuwa vindege vyao vya kivita ni ngumu kupiga dsm/ddm kabla jamaa wa ngerengere hawajaisambaratisha ikulu ya blantyre, na infantry batalion kadhaa hazijakata mawasiliano kwa kupenetrait kupitia daraja la umoja via pemba, ile rada ni noma!!!! Blair anaijua vema.
Kwa faida ya majadiliano ni kuwa hatujawahi kuiambia dunia kuwa ziwa nyasa ni la nyasa!! Na ramani zetu tunazosomea ni hizi hapa
29deb72b-dbad-ae37.jpg

umeona hilo tangazo kwa vitendo!
 
Bado nafikiria ni uamuzi gani utakaotoka kwenye kikao hicho ukiwa ni kinyume na umiliki wa 50/50 wa Ziwa Nyasa kati ya Malawi na Tanzania utawaridhisha watanzania. Pia ni uamuzi gani kinyume na umiliki wa 100% ya ziwa kumilikiwa na Malawi utawaridhisha wamalawi.

Nikiangalia " WIN-WIN" scenario katika hili haipo. Labda "WIN-LOOSE" scenario yaweza kufaa katika hili endapo upande mmoja utakubali yaishe. Vinginevyo "LOOSE-LOOSE" scenerio ndiyo itakayofaa ambayo itaambatana na kuruhusu pande zote mbili kukubaliana kutumia ziwa hilo kwa shughuli ndogo ndogo tu (domestic activities ) kwa ajiri ya raia wake.
 
nadhaini uzalendo ni muhim hasa viongozi kua na msimamo,wenzetu wanapojadili maslai ya kwao wanakua pamoja sisi tunasingizia vitu ambavyo havihusiani mfano mtu anajitetea ni wanasiasa wa kwetu mimi sina shida niwewe huna shida au taasisi unayoiongoza mfano ya urais haina shida na mipaka?jamani wakubwa tumewachagua mtuongoze sio kwamba hatujui ila wote hatuwezi kuwa viongozi
 
Nadhani kabla ya mazungumzo wamalawi walitakiwa wafute kauli ya kwamba ziwa ni lao 100% tumekua soft sana kwa hawa watu
 
Kama utatoka uamuzi wa kuchimba mafuta kwa pamoja kwenye Lake Malawi basi Tanzania ndiyo itakuwa imepata aibu. Kwa sababu aliyepiga marufuku yasichimbwe kwa sasa ni Tanzania wala si Malawi.

Wanachoeleza Malawi ni kwamba ziwa lote liko kwao, lakini hawajawahi kukataza shughuli ya uchumi isifanywe na Tanzania humo tangu enzi za Kamuzu Banda.
Wewe unachekesha!
Waambie waje kuchimba lake Rukwa.
Yaani unaandika upuuzi ambao hata mtu kichaa hawezi kuuandika, eti ziwa lote ni lao ila tunaweza kuchimba mafuta!!!?
 
hakuna mwafaka wowote uliofikiwa mpaka sasa
 
SERIOUSNESS: Malawi kwenye mkutano huo ina wawakilishi 40 miongoni mwa hao kuna makamanda wa jeshi, polisi na usalama wa taifa

Kwa upande wetu sisi Watanzania tuna 24. Hatujapeleka hata mtu mmoja wa usalama. Na kiongozi wa juu kabisa kiserikali wa wawakilishi wetu ni balozi wetu nchini Malawi.

MAJADILIANO ILIPANGWA YAISHIE JUMATANO. HATA HIVYO HAWAKUPATA MUAFAKA. Ndo wakaendelea hadi Alhamisi. Inasemekana Alhamisi pande hizo mbili zilitumia mwenendo tofauti na wa awali, hapakuwa na mapumziko ya chai, Wamalawi walikusanyika kivyao na Watanzania kivyao

Pia baada hii taarifa ya kinachojiri hapo mkutanoni kuvuja, waandishi habari wawili walikamatwa na polisi

My take: Tuombe Mungu shetani rushwa ashindwe ukizingatia kila siku tunasikia madudu mapya ya viongozi wetu vinginevyo mpaka Alhamisi matumaini yalikuwepo

kiongozi, una hakika hatujapeleka mtu wa usalama? bongo hata mkutano wa kitongoji usalama wanatinga ndio itakuwa mkutano mkubwa kama huo. katika hao 24 usalama hawakosekani (manake ni zaidi ya mmoja) ila wamevaa kofia nyingine tu.
 
tony ndiye aliyetuuzia 'rada' kimtindo, au sio bwana eeh! sasa anaenda kumwambia 'sister' akubaliane na maamuzi ambayo mpaka sasa "WAMALAWI WAMESHAUMIA" kuwa wakifanya makosa kwenye maamuzi, TZ inaweza kuikolonize malawi, ninamaana malawi itachapwa, kiongozi wa nchi atafurushwa blatrye, na TZ itachimba mafuta na gesi ziwani kufidia vita, by the time wanyasa watapokea oder toka dodoma, kimsingi wanaenda kupewa plan "B" ya budget yao.
Blair ana ujumbe mzito toka kwa muwekezaji wa symbion power.
Nikupateje, maamuzi yakitoka unitafute ikiwa yatakuwa tofauti na mtizamo huo hapo juu.

Litaamdaliwa dawati la mazungumzo kanakwamba tuyachimbe mafuta na gesi kwa pamoko kwa faida ya prince harry.
OVER.

huyo blair ni dalali siku hizi. hivi zile tuhuma za kwamba tangu atoke madarakani alimtembelea ghadafi mara sita ili kupiga dili za biashara ziliishia wapi?
 
kiongozi, una hakika hatujapeleka mtu wa usalama? bongo hata mkutano wa kitongoji usalama wanatinga ndio itakuwa mkutano mkubwa kama huo. katika hao 24 usalama hawakosekani (manake ni zaidi ya mmoja) ila wamevaa kofia nyingine tu.

Hapo ndo tunapowapiga bao la kisigno Wamalawi. Wao wanadhani mtu wa usalama lazima awe na nembo. Mimi nimeripoti kama wao walivyoripoti
 
Back
Top Bottom