akapige ramli mlingotini??
Good question...Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??
One can not stamp his authority without making decisions... Unfortunately JK hasnt done thatWakuu hapo ni kuwa serikali haiko imara mpaka sasa haijui ichukue njia ipi kuliongoza taifa ni wamechanganyikiwa kwani wananchi wamekuwa na wigo mkubwa sana katika sector nyingi sasa ukiongea pumba wanakuambia hapo umeurowanya,
Me naweza sema nchi iko kwenye turmoil kwani kama wananchi hawawezi kuelewa kabisa mwelekeo wa nchi yao na kiongozi wao wa nchi hawezi toa maamuzi juu ya jambo linalo wakera wananchi kama umeme maji gas kwa ujumla uchumi umekuwa mgumusana haulingani na maisha tunayo ishi kabisa hayo yote ni kuwa serikali ya JK haiwezi kujipanga au imeshindwa
there is nothing new from them.unataka ma-RC ili iwe nini?? kuna jema mnatarajia kutoka CCM au kwa ma-RC??