REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Kenya na South Sudan ni kati ya mataifa mawili yanayo share muingiliano mkubwa wa watu na mipaka baina yao kwa upande wa kaskazini mwa Kenya, nafikiri pia kuna Jamii moja inayopatikana pande zote mbili kama kwa maasai upande wa Tanzania na Kenya
Baada ya kupata kujitenga na Sudan na kua Taifa lingine, South Sudan ilikua beneti sana na Kenya kwa kila jambo pia Kenya imeshiriki pakubwa kuisaidia South Sudan kujitegemea na mpaka viongozi wa South Sudan walikua wakiishi Kenya Nairobi kwa kipindi kirefu wao pamoja na jamaa zao wakati na baada ya kutengana na Sudan pia kuna idadi kubwa tu ya wakimbizi wa South Sudan wanaoishi Kenya
Wananchi wa South Sudan wanamiliki vitega uchumi vingi tu nchini Kenya lakini siku za hivi karibuni nchi hizi mbili zimeonekana kupunguza ushirika wao kwa kasi ya kutosha au labda tuseme Kenya ina migogoro na kila jirani, Uganda hawako sawa sababu ya Migingo na uhusiano umekua mbaya kiasi la kuwanyima bomba la mafuta na reli ya SGR , Somalia ndio kama mjuavyo wanachukua bahari almost robo ya Kenya na mgogoro umefikia hatua ya kufukuza mabalozi, kule Ethiopia wamekiuka mkataba waliowekeana kwa Ethiopia kukataa kutumia bandari ya Mombasa na bandari waliyoandaliwa ya Lamu kwa Ethiopia kukimbilia Eritrea na Djibouti wazi wazi.
Nini kimeipata Kenya na majirani zake, ni kwanini kila jirani hawapo kwenye good terms na Kenya na wote wanaonekana kutaka isolation na Kenya na sio Kenya isolated them, nimetafakari kwa kina nikagundua Kenya ina matatizo makubwa sana ambayo yanaigharimu pakubwa kiuchumi na kisiasa vibaya mno.
Ni jana nashangaa kuona ujumbe mzito kutoka South Sudan ukikimbilia Tanzania na kuiruka Kenya pua na mdomo kwa kuja kutaka msaada wa Tanzania kwa masuala ambayo Kenya wanayaweza vizuri mno
Ujumbe huu mawaziri wa South Sudan umetenga millions of dollars kwaajili ya wataalam wa Tanzania kwenye masuala ya elimu, kilimo, diplomacy, mazingira, utamaduni na amani, wameahidi donge nono na maslahi mapana kwa wabobezi wa kitanzania kwenye hizo kada waende South Sudan mwezi ujao kuhudumu kwenye sector nyeti hizo kwa mamia.
Baada ya kuliona hili ndipo nilipo rejea diplomacy situation kati ya Kenya na majirani zake, nini tatizo?
Baada ya kupata kujitenga na Sudan na kua Taifa lingine, South Sudan ilikua beneti sana na Kenya kwa kila jambo pia Kenya imeshiriki pakubwa kuisaidia South Sudan kujitegemea na mpaka viongozi wa South Sudan walikua wakiishi Kenya Nairobi kwa kipindi kirefu wao pamoja na jamaa zao wakati na baada ya kutengana na Sudan pia kuna idadi kubwa tu ya wakimbizi wa South Sudan wanaoishi Kenya
Wananchi wa South Sudan wanamiliki vitega uchumi vingi tu nchini Kenya lakini siku za hivi karibuni nchi hizi mbili zimeonekana kupunguza ushirika wao kwa kasi ya kutosha au labda tuseme Kenya ina migogoro na kila jirani, Uganda hawako sawa sababu ya Migingo na uhusiano umekua mbaya kiasi la kuwanyima bomba la mafuta na reli ya SGR , Somalia ndio kama mjuavyo wanachukua bahari almost robo ya Kenya na mgogoro umefikia hatua ya kufukuza mabalozi, kule Ethiopia wamekiuka mkataba waliowekeana kwa Ethiopia kukataa kutumia bandari ya Mombasa na bandari waliyoandaliwa ya Lamu kwa Ethiopia kukimbilia Eritrea na Djibouti wazi wazi.
Nini kimeipata Kenya na majirani zake, ni kwanini kila jirani hawapo kwenye good terms na Kenya na wote wanaonekana kutaka isolation na Kenya na sio Kenya isolated them, nimetafakari kwa kina nikagundua Kenya ina matatizo makubwa sana ambayo yanaigharimu pakubwa kiuchumi na kisiasa vibaya mno.
Ni jana nashangaa kuona ujumbe mzito kutoka South Sudan ukikimbilia Tanzania na kuiruka Kenya pua na mdomo kwa kuja kutaka msaada wa Tanzania kwa masuala ambayo Kenya wanayaweza vizuri mno
Ujumbe huu mawaziri wa South Sudan umetenga millions of dollars kwaajili ya wataalam wa Tanzania kwenye masuala ya elimu, kilimo, diplomacy, mazingira, utamaduni na amani, wameahidi donge nono na maslahi mapana kwa wabobezi wa kitanzania kwenye hizo kada waende South Sudan mwezi ujao kuhudumu kwenye sector nyeti hizo kwa mamia.
Baada ya kuliona hili ndipo nilipo rejea diplomacy situation kati ya Kenya na majirani zake, nini tatizo?