thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Umesahau kusema kuwa mlituachia deal la mabilioni ya dola la EACOP na Railway link to Rwanda. SGR to UG na yenyewe kuna dalili mnaeza tuachia pia. Lately Kenya mmekua na roho nzuri.Mkataba umeandaliwa adis Ababa kumbuka Ethiopia imo katika harakati ya kufungua uchumi wake na Kenya ni jirani mhimu Sana katika uchumi wa Ethiopia ,nyie pambaneni na hali yenu tumewawachia Burundi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app