GE2025 Nini kimempata Fatma Karume?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Mkuu,

Huelewi kwamba ACT ni CUF imebadilishwa jina tu na kulikuwa na mazungumzo marefu ya maridhiano SMZ?
Sio ACT sasa kwani hadi leo bado CUF ipo na ACT ipo.
 
Sio ACT sasa kwani hadi leo bado CUF ipo na ACT ipo.
Unahakikishaje kuwa Fatma hakuishauri ACT isisusie chaguzi na mambo ya uongozi wa jamii kama alivyosema?
 
Hamna akili hiyo, usitake kujifanya kwamba ni mambo mnapanga. Hata hivyo maamuzi ya mahakama hayaangalii michango ya mitandaoni, kama mahakama imefikia hapo basi ujue hakuna mahakama bali ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Kwani huyo mama kwenda Comoro ni ili apoteze watu kwenye mijadala? Na ameenda kama mwanaccm au rais wa nchi?
 
 
Unahakikishaje kuwa Fatma hakuishauri ACT isisusie chaguzi na mambo ya uongozi wa jamii kama alivyosema?
ACT miaka 10 iliyopita ndio ilikuwa imeanzishwa, haikuwa na watu wa kuifanya wasusie chochote, usitake kulazimisha. Ulitakiwa useme aliwashauri CUF na sio ACT boss wangu.
 
Haya ni matokeo ya Mgogoro wa ndoa yake nadhani amekuwq promised
 
ACT miaka 10 iliyopita ndio ilikuwa imeanzishwa, haikuwa na watu wa kuifanya wasusie chochote, usitake kulazimisha. Ulitakiwa useme aliwashauri CUF na sio ACT boss wangu.
Sasa yeye mwenyewe kasema ACT, si CUF.

Unatakaje niseme CUF na si ACT?

Unanifundishaje natakiwa jusema hiki na si kile?

Wewe ni nani ujue ninachotaka na ninachotakiwa kusema ni kipi?
 
Sasa yeye mwenyewe kasema ACT, si CUF.

Unatakaje niseme CUF na si ACT?

Unanifundishaje natakiwa jusema hiki na si kile?

Wewe ni nani ujue ninachotaka na ninachotakiwa kusema ni kipi?
Nilikwambia umeingizwa mjini kirahisi. 10yrs back ACT was nothing. Labda kama unataka kuleta ubishi wa mshipa.
 
Nilikwambia umeingizwa mjini kirahisi. 10yrs back ACT was nothing. Labda kama unataka kuleta ubishi wa mshipa.
ACT haikuanza kutoka sifuri ilianza kwa watu walewale waliojuana na kufuatiliana siku nyingi kina Jussa na wenzake kumeguka CUF.

Mbona unafanya trolling sasa?
 
ACT haikuanza kutoka sifuri ilianza kwa watu walewale waliojuana na kufuatiliana siku nyingi kina Jussa na wenzake kumeguka CUF.

Mbona unafanya trolling sasa?
Ni kweli, ila haikuwa miaka 10 iliyopita.
 
Ni kweli, ila haikuwa miaka 10 iliyopita.
Kwa nini unajipa ujuzi usio nao?

Unajua vikao vyote vya kuunda ACT na kuweka mikakati ya kujiimarisha kwake vilifanyika lini, wapi, na nani alikuwapo?
 
Kwa nini unajipa ujuzi usio nao?

Unajua vikao vyote vya kuunda ACT na kuweka mikakati ya kujiimarisha kwake vilifanyika lini, wapi, na nani alikuwapo?
Vilifanyika muda mfupi kabla ya Maalim Seif kujiondoa na wafuasi wake iliyokuwa CUF. Na hiyo sio miaka 10 iliyopita.
 
Vilifanyika muda mfupi kabla ya Maalim Seif kujiondoa na wafuasi wake iliyokuwa CUF. Na hiyo sio miaka 10 iliyopita.
Kwa nini unajipa ujuzi usio nao?

Unajua vikao vyote vya kuunda ACT na kuweka mikakati ya kujiimarisha kwake vilifanyika lini, wapi, na nani alikuwapo?

Unajua vikao vyote? Vyote kabisa? Kweli?
 
Mtu aliyeponea Rehab baada ya kuwa na uraibu wa dawa za kulevya ni wa kumwamini?

Yule ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu. Wanaomsikiliza nao wana shida ya akili.
alipokua anawatetea chadema alikua safi

leo kawageuka basi ni "teja"?

sometimes chadema should grow up na kuacha emotions

cha kujua ni kwamba hakuna mwanadamu loyal wa chochote,akibadilika achaneni nae endeleeni ya yenu

hii kugeuka emotional like little bitches ni theater of public spectacle!
 
Kwa nini unajipa ujuzi usio nao?

Unajua vikao vyote vya kuunda ACT na kuweka mikakati ya kujiimarisha kwake vilifanyika lini, wapi, na nani alikuwapo?

Unajua vikao vyote? Vyote kabisa? Kweli?
Nimecheka kwa nguvu πŸ˜‚πŸ˜‚. Acha league zisizo na kichwa wala miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…