Nini kimemkuta Idris Sultan?

Ninakuomba mleta maada siku akiwa na nuru usoni pia ulilete swala Hilo hapa lijadiliwe.
Pia ninaomba ulete na wengine wenye nuru pia wajadiliwe Mana inaonekana ndio taaluma yako yaani ndio kazi yako kuwacheki wenye nuru na wasio na nuru.
Uongee na binti wa kajala akawa ambassador wa crdb kwanza akalipwa 300M binti aliyepiga division four huko form four. Uliongelee na hili ndugu tafadhali na ucheki anafanya nini na hizi hela
 
Sijui kwa nini huwa naamini ipo siku utaacha ushoga utarudi kawaida.
Kama Agrey iliwezekana basi naamini hata wewe inawezekana
 
Mji wenu unanuka nnya sana, sijui ni tamaa au ni nini kinafanya vijana wageukie upande huo.
 
Kinyaa
 
Hahaha mkuu home kumbe Arusha? Mimi nakumbuka nilikamataga laki nne Akiba commercial kilombero ilikuwa Fujo Sing'isi. Ilipopungua akili ikarudi nikaingia kwenye biashara ya samaki tunatoa nyumba ya mungu hadi kilombero but it was too late. Nilikuwa bado kijana mdogo sana wakati huo nadhan vale nafaka ni 3 yrs

adriz
 
Idris aliamua kujikondesha kwa kukatwa utumbo na kukwanguliwa mafuta tumboni, aliyemshauri ni Wema
Mi nlikuwepo
 
Ulizimalizia Shivaz nn
 
Ndiyo boss. Tunajifunza kupitia makosa. Kuna makosa bora uyafanye mapema kwenye 20s.
 
Rich yule ana matatizo ya akili sio mara ya kwanza kufanya ivyo live zake nyingi ndio mamb yake alimleta alslay live bila yeye kujijua
Ni mpuuzi sana yule kuku alimuweka mpaka mzungu wake live ktk interview eti anamwambia asisahau kumnunulia donate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…