TinyMonster
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 248
- 154
Habari wanajamvi...
Nadhani kila mtanzania alifurahi sana mwenzetu Hasheem Thabeet Manka alipokuwa drafted kuingia ligi ya NBA na kutokana na uwezo wake aliouonyesha akiwa UConn tulihisi atafanya mambo makubwa sana akiwa na Mempis Grizlies. Lakini kwa bahati mbaya mambo hayakumuendea vizuri, perfomance yake ikawa mbovu hadi ikafikia wakati coach wa Griz akawa hampangi kwenye match nyingi mfululizo au kupewa dakika chache tu za mchezo. Mwanzoni nilihisi labda Coach Lionel Hollins ana chuki binafsi lakini baada ya ku-google nimegundua Hasheem ameshindwa kuonyesha uwezo wake wa UConn. Wengine imefikia hatua wanasema draft ya Hasheem Thabeet ni mbovu tangu Darko Milic. Alikuwa na wastani points 1.2 na 1.7 rebounds kwa kila mechi ambacho ni kiwango kibovu kwa mtu wa level yake.
Ninachotaka kujua kwa wana-JF mnaomfahamu huyu kijana wetu, nini kimemtokea? kwanini amepoteza kiwango chake?
Nawasilisha hoja.
Nadhani kila mtanzania alifurahi sana mwenzetu Hasheem Thabeet Manka alipokuwa drafted kuingia ligi ya NBA na kutokana na uwezo wake aliouonyesha akiwa UConn tulihisi atafanya mambo makubwa sana akiwa na Mempis Grizlies. Lakini kwa bahati mbaya mambo hayakumuendea vizuri, perfomance yake ikawa mbovu hadi ikafikia wakati coach wa Griz akawa hampangi kwenye match nyingi mfululizo au kupewa dakika chache tu za mchezo. Mwanzoni nilihisi labda Coach Lionel Hollins ana chuki binafsi lakini baada ya ku-google nimegundua Hasheem ameshindwa kuonyesha uwezo wake wa UConn. Wengine imefikia hatua wanasema draft ya Hasheem Thabeet ni mbovu tangu Darko Milic. Alikuwa na wastani points 1.2 na 1.7 rebounds kwa kila mechi ambacho ni kiwango kibovu kwa mtu wa level yake.
Ninachotaka kujua kwa wana-JF mnaomfahamu huyu kijana wetu, nini kimemtokea? kwanini amepoteza kiwango chake?
Nawasilisha hoja.