J33
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 1,552
- 1,520
Cement haionekani mtaani!!
Magari ya kampuni yanafanya kazi za kusomba somba mizigo huku mitaani ambayo haihusiani na kiwanda (kwa kifupi madereva wanatumia magari kwa manufaa yao au tuseme wamejimilikisha magari?
Michezo ya magari na vifaa vyake haielezeki.
Tuambiane nini kimetokea kwa wanaofahamu?
Magari ya kampuni yanafanya kazi za kusomba somba mizigo huku mitaani ambayo haihusiani na kiwanda (kwa kifupi madereva wanatumia magari kwa manufaa yao au tuseme wamejimilikisha magari?
Michezo ya magari na vifaa vyake haielezeki.
Tuambiane nini kimetokea kwa wanaofahamu?