Nini kimeikumba kampuni ya Dangote Cement?

Nini kimeikumba kampuni ya Dangote Cement?

J33

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
1,552
Reaction score
1,520
Cement haionekani mtaani!!

Magari ya kampuni yanafanya kazi za kusomba somba mizigo huku mitaani ambayo haihusiani na kiwanda (kwa kifupi madereva wanatumia magari kwa manufaa yao au tuseme wamejimilikisha magari?

Michezo ya magari na vifaa vyake haielezeki.

Tuambiane nini kimetokea kwa wanaofahamu?
 
Wanagawana mbao shamba la bwana joni
Cement haionekani mtaani!!

Magari ya kampuni yanafanya kazi za kusomba somba mizigo huku mitaani ambayo haihusiani na kiwanda (kwa kifupi madereva wanatumia magari kwa manufaa yao au tuseme wamejimilikisha magari?

Michezo ya magari na vifaa vyake haielezeki.

Tuambiane nini kimetokea kwa wanaofahamu?
 
Mshahara wenyewe ni 250000 tu kwa mwezi,wacha wale vichwa tu
 
Hawaruhusiwi kubeba mzigo zaidi cement na mawe ya gypsum ,Kama wanna mizigo tofaut na huo toen taarifa kituo chochote Cha police.
 
Wazaramo mnamambo. Gari ya mizigo ikibeba mizigo nalo ni tatizo? Kwani umeona likibeba mzigo toka kiwandani badala ya simentia
 
Kiwanda dhofu lhali, gharama za uzalishaji zkmekua juu tofauti na ilivyotegemewa kwa kutumia Makaa ya mawe kutoka SA
 
Kila Mbuzi na ale kwa urefu wa kamba yake. Kwann mnateseka wenzenu wakipata?
 
kuna jamaa yangu aliibiwa na dereva wa dangote mzigo wa million7 toka kahama kwenda Dar

zilikuwa tenga 80 za nyanya


usilogwe upakize mzigo wako na lorry za dangote, madereva wake wezi balaa
 
Hawaruhusiwi kubeba mzigo zaidi cement na mawe ya gypsum ,Kama wanna mizigo tofaut na huo toen taarifa kituo chochote Cha police.
Hii nayo ni roho mbaya,yaani unaroho ya uchawi kwa jinsi ulivyotamka
 
Back
Top Bottom