Kaskazini huwa naenda sana..na gari linaloweza kushindana na hizo nilizotaja ni Dar lux, labda na Ratco tho siionagu ikianzia Dar..mengine yalobaki ni makopo..plus inferior services..
Pia siku hizi watu wengi wanatumia usafiri binafsi na wengine kuchanga na kukodi magari kama Coaster na Noah na mengineyo kipindi cha misiba hivyo biashara ya mabasi kidogo imeyumba. Maneno hayo niliyasikia toka kwa mmiliki wa Princess Muro
laana ya marehemu kamwe haiwezi kumuacha mtu salama...
alichomfanyia kaka yake marehemu mzee mremi wa kibaha mungu anajua ...na ndio hicho kinachommaliza mali ya dhuruma hiyo hadi kaka yake amefariki analalamikia hyo dhuruma aliyofanyiwa
aliyestahili kuwa mwenye mali amefariki na hyo kampuni nayo lazma ifariki imfate marehem mzee mremi
Mzee ni mbishi sana huyu hataki ushauri kabisa.
Pia baada ya kufariki mke wake biashara imeyumba sana.
Mke mdogo aliyemuoa baada ya mkewe kufariki nae kamfanya mzee ni 'chuma ulete'.
Kwa ufupi dar exp. iko ICU